Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote vinatumia umeme mkubwa (3...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Nauza Acer Laptop Make:Acer Model:Aspire 5552-7819 Colour:Black Processor:AMD Phenom II X2 N660 Screen:15.6” HD LED LCD Graphics Chip:ATI Mobility Radeon HD 4250 RAM:4GB DDR3 Memory 320GB HDD...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari.. Kwa anaehitaj dell latitude620. Harddsk 80GB, ram 1GB, dualcore.. Ime2mika 2mnths, Bei 350000. Anaehtaj anpm npo ruvuma.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Specification 1.Iwe na 4GB Ram 2.Iwe na 500GB Harddisk 3.Isiwe mini laptop 4.Iwe katika hali nzuri 5.Iwe nA bluetooth,wi-fi,webcAm Bei iwe 500,000/= MawAsiliAno. 0785308076 au 0712338291
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Eneo hilo lipo katika mtaa wa kulangwa kata ya goba imepakana na madale lina ukubwa wa ekari (3)tatu.lipo karibu na barabara ya magari ya wazo hill to madale eneo linauzwa lote kwa ujumla hakati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu nauza laptop yangu ya HP ambayo ni pavilion g6 na ipo hivi AMD Duo Core Processor 2.3 Ghz 3GB RAM 320GB HDD ATI 4250 512MB Video Card hii computer inafaa zaidi mchezea photoshop au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa tabata kimanga karibu kabisa na kanisa la KKKT Kimanga. Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Toyota Hilux, Engine 2.8, 3L ,non turbo, Crew cab, ipo Zanzibar, imeingia nchini na haijatumika lakini imeshasajiliwa na kulipiwa kila kitu. Picha zimenishinda kuweka lakini kwa ambae yuko...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu, Kiwanda kipya cha chakula cha mifugo kinahitaji malighafi zifuatazo. Tafadhali leteni quotations (per tonne) mpaka kiwandani Dar es Salaam Mahindi Mashudu Dagaa vumbi Chumvi
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Vinapatikana mbezi makabe. ukitoka kituo cha mbezi mwisho ni km tano tu.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Make Scania Model 93 HP 280 Year 1995 Km 460.332 Bei Milioni 33 gari hiko kwenye hali nzuri, gari inayouzwa ni hicho kichwa kinachosomeka 93/280, inauzwa bila ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wadau! Wandugu natafuta informationza za soko la dagaa wa chakula cha kuku!kwenye mikoa ya Mbeya, Iringa n.k. Soko lake likoje huko? Wanunuzi haswa ni kina nani? Wafugaji, watengenezaji au...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mbweni JKT near NHC quarters, Medium density, title deed available, electricity and water supply available, Contact 0767 691636. No middlemen
0 Reactions
2 Replies
867 Views
Nauza panasonic tv/monitor 50 inch kwa 1.3m,for serious buyers only call 0718576505
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Napangisha kwa mkataba wa miezi sita, na kodi kwa mwezi ni tshs. 100,000/=, ina tiles ndani ya chumba na nje ya kibaraza. Ina mlango wa kioo wa kuslide ipo mtaa wa changombe inatazama bara bara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama majibu ni ndiyo tuwasiliane . tunazo apartment za kuuza katika maeneo ya kariakoo, upanga , masaki na mikocheni. pia tunayo maeneo ya kuweka ATM machine katika hayo maeneo. kwa maelezo zaidi...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
hii nyumba ipo mbagala chamazi. ipo ktk eneo salama kwa makazi ya watu . kama utanunua kama ilivyo utauziwa Tsh. 25m na kama utataka ikamilike kwa kila kitu utauziwa 35m. nyumba ina vyumba 4 vya...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Unadhani itakuwa ni nini? Ni Maji. Ndiyo, kwani maji si UHAI?. Bonyeza hapa: http://maajabuyamaji.net/2012/10/01/jitibu-kwa-kutumia-maji/
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza generator ni mpya watt 950, volt 12 nipo dar mwenge, bei maelewano
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu naomba kufahamu kodi za magari haya, mpk kuliweka barabarani: 2005 Toyota Mark X, 2400cc, 2004 Toyota Verossa, 2000cc, 2004 Toyota Camry, 2005 Audi A4, 2000cc. Nimeshindwa kutumia kikokitoo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…