Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

BETRI ZA SIMU, BETRI ZA CAMERA NA LAPTOP, BATTERY CHARGERS, PRINTER TONERS, SCIENTIFIC CALCULATORS, VITABU, LAPTOPS, DASH BOARDS ZA COMPUTER NAKADHALIKA. JE, una kifaa chako cha Elentronic...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Samahani wajumbe ila naulizia kama mtu anafahamu sehemu wanapouza A4 T-SHIRT PRINTER na ntafurahi nkijua bei na eneo wanalouza na kama ntapata na namba ya simu then ntashukuru zaid
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Iwe kwenye hali nzuri na bei ya kawaida, nipm au simu 0682733791 tukielewana nakupa cash tarehe 25 mwezi huu wa pili.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ipo katika hari nzuri.. Contacts 0768497592 nipo dar es salaam
0 Reactions
3 Replies
992 Views
Natafuta laptop nipo malimbe mwanza nicheki kwenye 0765480855 iwe katika hali nzuri
0 Reactions
7 Replies
973 Views
wadau kuna shamba maeneo ya kibaha kwamatias karibu na hospital ya burere lina vitu vifuatavyo nyumba yenye vyumba vitatu minazi 14 Michungwa 10 Miembe na vitu vingind vingi umeme uko nyumb ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza haraka nyumba yenye vyumba vitatu ambayo ipo kwenye eneo kubwa la mita 35 kwa 30 Chanika mwendo wa dk 7 toka barabara ya lami. Umeme upo. Bei sh. Mil. 13, haipungui. Unaweza kuikarabati...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Price its 250 for karbonn A7 and 320 for samsung, both are dual and run on android gingerbread If interested PM pls
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu, nyumba inapangishwa mwenge karibu na TRA, ina vyumba vitatu vya kulala, chumba kimoja ni master, ina dining room, sitting room, kitchen na public toilet, kodi ni 450000 inahitajika ya...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Natafauta kiwanja mwenge dsm medium size my budget is 50m.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu mwenye corolla ltd 110, naihitaji kwa ajili ya teksi. Ninayo 4m. Mwenye nayo anicheki kwa 0762738485
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DELL STREAK 7 wifi+4G (16GB internal memory) 7.9 inches screen ni mpya imefunguliwa box kwa kuupgrade os to android 3.2 na kui root ili uweze kuinstall kitu chochote kile na kuweza kutumia skype...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Wahi sasa, napatikana Dar mabibo hostel.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serious buyer manual..disel..2003 model...chasis lh184..imetoka bandarini jana... tsh 26ml
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta sim nokia n8 used.. Mwenye nao tuasiliane tafadhali
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Wadau heshima kwenu, Natafuta chumba na sebule iwe self contained maji na umeme, iwe maeneo ya SOWETO au RAU, Kodi isizidi 100,000 kwa mwezi, ikiwa na usalama wa geti na ukuta ntashukurusana. kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Habari zenu, Natafuta nyumba ili nipange, chumba kimoja self contained na sebule au vyumba viwili na sebule moja lazima kiwe self (maji muhimu yawepo). Mazingira yawe mazuri kwa usafi na...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
nauza nokia asha 200 ipo poa bei ni Tsh 80,000 nipo mwanza ina earphone na usb cable
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina nokia asha 200 ipo katika hali nzuri ina kila kitu chake,nataka kubadilisha na mtu yoyote aliye tayari aniambie na aina ya simu aliyonayo
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…