lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,205
Serious buyer manual..disel..2003 model...chasis lh184..imetoka bandarini jana... tsh 26ml
Picha!!!!!Katika gari tangazo kubwa ni chasis namba kwa mnunuzi anayejua magari anakuwa ameelewa kila kitu..wewe ulitaka tangazo liwe vipi ????
Tupiamo kapicha
Naomba nitoe maelezo kidogo..watu wengi bado hatujajua ununuaji wa magari..ukiagiza gari kupitia kwenye bandari yetu tra watakutajia ushuru wa gari lako bila kuliona na wala kuona picha ya hilo gari wanachofanya ni kuangalia chasis number ya gari hilo..unawezakuwaambia umenunua kwa $3000 wao tra wakakwambia hapana umenunua kwa $4000 kwa kuangalia tu chasis number..gari unawezakulipaka rangi nyeusi ili uliuze lakini kwa kuangalia chasis number unawezajua rangi original ya gari hilo..pia wawezajua kama gari ni la wizi model yake nk..sokoni unapoangalia ni maili ngapi gari limetembea si sahihi sana maana siku hizi watu wanabadiliasha baada ya 50000 itasoma 20000 nk..watu wengi wanapoagiza magari pindi gari linapofika anaona vitu tofauti na alivyoyegemea..kuna bwana mmoja ana showroom yake hapa dubai alinifundisha mengi ktk manunuzi ya magari..rafiki zangu wote mliochangia hapo juu mna mawazo mazuri sana lakini siku hizi teknolojia imebadilika tujifunze sasa..chasis number ina mambo mengi sana itakwambia ata kama gari inayouzwa ni ya wizi hivyo wawezaiepuka..soko la magari lina udanganyifu mwingi sana hivyo wanunuzi tubadilike..picha ni ya muhimu lakini haitakwambia kama gari ni manual au auto..imetengenezwa mwaka gani..petrol au disel..imeibiwa au imepata ajari nk..wajapan wanapenda sana kutuuzia magari maana tunalizika na picha tu !!!!nashukuru gari nimeuza..aksanteni sana +971504374387 dubai
Naomba nitoe maelezo kidogo..watu wengi bado hatujajua ununuaji wa magari..ukiagiza gari kupitia kwenye bandari yetu tra watakutajia ushuru wa gari lako bila kuliona na wala kuona picha ya hilo gari wanachofanya ni kuangalia chasis number ya gari hilo..unawezakuwaambia umenunua kwa $3000 wao tra wakakwambia hapana umenunua kwa $4000 kwa kuangalia tu chasis number..gari unawezakulipaka rangi nyeusi ili uliuze lakini kwa kuangalia chasis number unawezajua rangi original ya gari hilo..pia wawezajua kama gari ni la wizi model yake nk..sokoni unapoangalia ni maili ngapi gari limetembea si sahihi sana maana siku hizi watu wanabadiliasha baada ya 50000 itasoma 20000 nk..watu wengi wanapoagiza magari pindi gari linapofika anaona vitu tofauti na alivyoyegemea..kuna bwana mmoja ana showroom yake hapa dubai alinifundisha mengi ktk manunuzi ya magari..rafiki zangu wote mliochangia hapo juu mna mawazo mazuri sana lakini siku hizi teknolojia imebadilika tujifunze sasa..chasis number ina mambo mengi sana itakwambia ata kama gari inayouzwa ni ya wizi hivyo wawezaiepuka..soko la magari lina udanganyifu mwingi sana hivyo wanunuzi tubadilike..picha ni ya muhimu lakini haitakwambia kama gari ni manual au auto..imetengenezwa mwaka gani..petrol au disel..imeibiwa au imepata ajari nk..wajapan wanapenda sana kutuuzia magari maana tunalizika na picha tu !!!!nashukuru gari nimeuza..aksanteni sana +971504374387 dubai