ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Nina nokia asha 200 ipo katika hali nzuri ina kila kitu chake,nataka kubadilisha na mtu yoyote aliye tayari aniambie na aina ya simu aliyonayo
Nina nokia asha 200 ipo katika hali nzuri ina kila kitu chake,nataka kubadilisha na mtu yoyote aliye tayari aniambie na aina ya simu aliyonayo
Nimeku PM au nicheki kwenye 0755065418
utaniongeza ngapi nikupe nokia c7
bado hjashtuka mkuu kuwa hawa jamaa wanakutania kubadilisha nokia asha na iPhone3 si ni sawa na kubadilisha baiskeli na gari.
nitafutie 150,000 ninayo ipo kwenye hali nzurijamani nahitaji nokia e72 ambayo iko ktk hali nzuri.
bado hjashtuka mkuu kuwa hawa jamaa wanakutania kubadilisha nokia asha na iPhone3 si ni sawa na kubadilisha baiskeli na gari.
Nina nokia asha 200 ipo katika hali nzuri ina kila kitu chake,nataka kubadilisha na mtu yoyote aliye tayari aniambie na aina ya simu aliyonayo
Mkuu Sitanii nnayo iPhone 3 Origional na sio Mchina Jamaa ndo anazengua anadai ameni PM lakini ni uzushi Sa anaweka No ya Sim nimpigie nahofu kusumbuliwa
Makubaliano kwanza Mawasiliano Baadae
we sema nikuongeze ngapi unipe hiyo c7
niongeze laki 2 na elfu 50 mkuu.
nina HTC P3300 touch windows phone ya Marekani...tubadilishane
Nina nokia asha 200 ipo katika hali nzuri ina kila kitu chake,nataka kubadilisha na mtu yoyote aliye tayari aniambie na aina ya simu aliyonayo
kama upo serious njoo tubadilishane na samsung ch@t 322 katika hali nzuri