Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Wakuu habari zenu, naomba kufahamishwa mahali naweza pata chumba cha kupangisha hapa Arusha mjini ambacho ni master. Maana hapa nilipofikia panaitwa majengo...
FEATURES INCLUDED WITH ALL PLANS:
- Cpanel Based Web Hosting
- LiteSpeed Web Server with WordPress Cache
- UNLIMITED MariaDB (MySQL) databases, email, FTP accounts
- FREE Unlimited Auto SSL...
Wakuu habari ya muda huu
Vyote vipo katika hali nzuri.
Ukitaka kukagua Vipo Kikwajuni.
Bei ya jumla ni laki tano na elfu hamsini.
Godoro pekee bei ni laki moja na themanini alfu.
Kitanda pekee bei...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
Uongozi wa st. Marcus pre, primary and secondary school iliyopo iwambi mkoa wa mbeya inapenda kutangaza nafasi za masomo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza (msingi) na kidato cha kwanza (sekondari)...
Nyumba ipo mikwambe fundi baisikeli ina vyumba vitatu kimoja master sitting room dining room jiko na public toilet bei milioni 80 mzungumzo yapo pia ina vyumba viwili masters...
2012 Subaru Impreza G4 for sale.
Automatic Trans.
Number plate utachagua ww.
Low Mileage.
Bodykit kali + Muffler & Air intake mods ndogo.
Smart Radio + Push to start.
Bei ni 22.5M plus usajili...
Hello,
Naitwa khadija TUNATOA HUDUMA za kuandika barua za maofisi, invoice, delivery, excel. Tunajua sio kil Mtu ana komput au ana uwezo Wa kutumia komputa, hivyo kila kitu na tunafanya through...
- Ist au Premio lenye hali Nzuri. Kwa matumizi ya kwenda kazini na kurudi
-Rejesho 850,000 kwa mwezi au kwa week
- kwa miezi 18
-mimi ni mwajiriwa Sekta binafsi sina familia
- bank statements na...
Okoa gharama kwa kufunga taa hizi za solar.
Taa hizi zinamfumo wa kujiwasha zenyewe kila baada ya masaa kadhaa kama utakavyo iseti
pia zinakuja na remote control yake ya kuseti
Zina sensor...
Habari Wakuu,kwa wale ambao wanafikiria kujenga au kuanzisha miradi mbalimbali kwenye Jiji la Dodoma wakati ni sasa.
Unaweza kujipatia Viwanja kwa Bei nzuri kabisa kwaajili ya Matumizi ima ya...
Habari wanandugu, leo nimependa kushare na watu moja kati ya biashara zinazofanya poa hasa apa jijini dar es salam na hii ni biashara ya studio and makeup.
Watu wengi wanafungua studio za...
Asalaam aleykum jamiiyah, kusudio la uzi huu ni kuweka bidhaa hapa ambayo unataka kuiuza ukizingatia biashara kwa siku za hivi karibuni zimekuwa za kimtandao zaidi, hiyo mtu yoyote atatupia bidhaa...
Samaleko
Kwa wakazi wa daslamu na viunga vyake Napokea oda ya shuka za kimasai wiki hii yote mnipe oda mapema kabla sijaondoka arusha
Nawasilisha.kwa maelezo zaid mnicheki whatsapp 0713968020
Tunafanya huduma zifuatazo Kwa Bei nafuu zilizo na ofa za kutosha :-
1. Windows installation ( 10, 11) - 20,000 Tsh
Utapata ofa ya
- ms office activated
- windows activation
- na basic software...