Pikipiki inauzwa

Pikipiki inauzwa

mwalemi

Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
45
Reaction score
1
:A S-heart-2😛IKIPIKI INAUZWA AINA YA SNLG TSHS 1'000,000 IKO BOMBA

0759007560 :yo:



:yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo::yo:
 
umeinunu mwaka gani? na kwa nini unauza?
niko interested jibu kwanza maswali
 
nimenunua 2011 0ct na iko vizuri kikubwa nimeona kuwapa hawa bodaboda hesabu inakuwa ngumu kuleta
 
Bomba 2 au moja na ni 125 au 150 na tokea uinunua una muda nayo gani na injin mara ngapi umeifungu mkuu naomba kuwasirisha
 
injilin imefunguliwa mara moja na SNLG 150 haina km nyingi kwa sababu tokea mwaka jana mwezi wa saba nilimnyang'anya bodaboda ilikuwa ndani ukiiona utafikiri ndo imetoka dukan
 
Laki 7 ipo ila tunakwenda kusibitisha police Nitakua dar 6 mwez 4 kama ntaikuta na bei hiyo naomba kuwashilisha oja
 
ni tangazo au ni tetesi tu???

😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:
 
hayo ndo matatizo ya madalali umeambiwa milion we unasema laki 7 ili iweje
 
Kwaiyo unazan mm dalali mm izo pkpk ndio biashara zangu kma unaona haina maslai kanayo utapata mtu wa mill nausiwe una kremu kila anae vaa suruali mwanaume sio kila mmnua kitu jf dalali au wewe ndie unaye dalalia pkpk
hayo ndo matatizo ya madalali umeambiwa milion we unasema laki 7 ili iweje
 
Mkuu vipi unaweza weka picha? Je kadi yake unayo? Unapatikana wapi?
 
hayo ndo matatizo ya madalali umeambiwa milion we unasema laki 7 ili iweje

ushavua chup unaambiwa bei unakimbia usiogope kama unaweza nunua kama unataka ya laki saba ni pm
 
Back
Top Bottom