Nina jamaa yangu anahitaji laptop budget yake ni TZS 300,000/=,muhimu iwe inakaa na charge si chini ya saa mbili na kuendelea na HDD isiwe chini ya 320,unaweza wasiliana nami kwa Mob 0786 585 490...
Trekta used FORD 4600 hp 59na JOHN DEERE 2130 hp 79 toka ulaya. Hazijafanya kazi bongo. Zote ni reconditioned na zimefungwa vifaa vipya original kwenye engine. Shime wakulima na wenye tender za...
Hi all,
mambo zenu, nauza Computer yangu..[system unit] 2gb RAM (can be extended) na HDD 320gb(can be extended also), Core i3 CPU, nSeries High Performance Unit...bado mpya kabisa..imetumika 2...
Our main objective is to provide a top-class service for companies and individuals interested in sustainable development. With our key activity being collecting and recycling of secondary raw...
Nauza
Sony Bravia flat screen LED inchi 46, fridge kubwa milango 2 LG,
freezer kubwa ya Nyama aina ya Liebherr Heavy Duty, vyote ni original,
vipya na vimetoka Ulaya. Kwa anaehitaji ani PM.
Hello, tunafanya mengi yahusuyo ushauri na uratibu wa masuala ya miradi ya kijamii na uchumi na maendeleo kwa ujumla. Baadhi ya mambo hayo ni kama;-
project designing/planning, M&E and developing...
Ndg zanguni,ukweli naitaji saaan hii chopper bike,tatizo niko mkoani ila kuna moja nilikuanayo b4 kuna mtu aliniletea toka zanzibar kwa laki 1 na nusu.ila sasa hivi ayupo tena,sasa kama wewe unayo...
Wakuu,
Nataka kuzungusha ukuta eneo ambalo nina mpango wa kujenga mwishoni mwa mwaka huu.
Kama umeshawahi kufanya kazi na fundi mwashi anaeijua kazi yake vizuri, nitashukuru sana kama utaweza...
Shamba lenye ukubwa wa hekari mbili linauzwa, lipo barabara ya kwenda Nyumbu / Msangani
lipo ndani ya miundombinu. kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namba hii. +255 755 233 243
Habari,
Nauza a refurbished laptop tajwa apo juu, specs ni;
500 HDD
4GB ram
AMD PHENOM QuadCore processors 1.6GHZ, good for gaming and graphics, ability to change graphic procesor from normal...
Habari wana-JF...Kuna computer inauzwa kwa bei POA,iko vizuri haina tatizo,Ina 3GHz processor,hard-disk ya 80GB,RAM ya 1GB,DVD writer na ipo pamoja na monitor yake ''FLATSCREEN YA NEC'' yenye inch...
[SIZE=3][COLOR=#000000][FONT=Calibri]Nyumba
yenye hati ya Vyumba 3 kimoja Masterbedroom,sebule pana,Dining , choo
cha ndani na bafu na choo cha nje na bafu lake,uwanja mkubwa wa kupaki...
Natafuta frema ya biashara kati ya mwenge au makumbusho au kinondoni au tegeta , kama kuna mtu ana taharifaa zozote kuhusu frem za biashara maeneo hayo Tuwasiliane kwa simu 0713-95-92-90
Turubai
jipya la kuwekea kambi linauzwa kwa sh. 350,000/=. Ni kubwa lenye uwezo
wa kulaza watu 5. Linauzwa lenyewe pamoja na begi lake na vifaa vyake
vyote vya kulisimamishia.
Pia wanauzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.