Ndugu,
LG ultra slim tv inauzwa. Imetumika kidogo na ipo katika hali nzuri kabisa. Nzima na haina tatizo lolote.
Kwa mawasiliano 0715918448
Price 230,000 negotiable
kipo Mtwara Mjini katika mtaa wa Mitengo jirani kabisa na mji wa Mikindani,kina ukubwa wa sq meter 1500
kimepimwa lakini hakina hati kwa kuwa bado hakijamaliziwa kulipiwa,mitngo ni jirani na...
Wakuu nimerud tena ila safari hii nimekwama kidogo nilikua ninashida na iphone 3gs.mimi binafsi nina bbcurve2 9300 hivyo nionngeze na sh ngap uweze kunipa iphone3gs,asanten sana wakuu!
Nahitaji mojawapo ya simu hizo. Bajeti yangu kwa galaxy s3 ni 500k, na galaxy note 2 ni 650k. Naweza kuongeza kulingana na condition ya simu, rangi yoyote isipokuwa white. Kama unauza ni pm or...
Jamani wana JF,
Bado nyumba ipo sokoni for lease. Ni nyumba ya 3 bedrooms (one master bedroom en-suite), dining, living rooms, kitchen with attached storage room, recently refurbished house. 7,000...
Nahtaj i nyumba ya kupanga maeneo ya upanga au posta au maeneo ya karibu na town kama kijitonyama kurudi nyuma. Iwe na vyumba viwili au zaid iwe na choo seating room na kitchen hata...
Pata mbuzi wa maziwa wanaotoaa mpaka lita 2 kwa mkanuo kwa siku wana lita 4 pia ngombe wa maziwa wapo wanatoa maziwa mpaka lita 10 kwa mkamuo kwa cku wanatoa lita 20 karibuni niko arusha
ifanye ngozi yako YENYE afya nzuri, YENYE MVUTO, kung'aa NA kuvutia.
hii ni ngozi za aina zote namaanisha.
ngozi kavu
ngozi za mafuta
ngozi mchanganyiko namaanisha kavu NA mafuta.
ngozi Tata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.