Ardhi kuanzia heka moja mpaka heka 250 bei ni kulingana na eneo, maeneo yote yanafikika kirahisi kwa gari, bei kuanzia milioni 2 mpaka milioni 3, kwa mawadiliano piga 0717000990/ 0764434673/...
Ina vyumba vya kulala vitatu,kimoja ni master bedroom,jiko,sitting room,stoo na dining.pia imezungushiwa ukuta.ipo karibu/nyuma ya sokoni,ina hati miliki
bei; tshs millioni 90
Dalali anaruhusiwa
Hya tena kwa wale wanaotaka kununuwa Mabasi ya abiria toka Germany MERCEDES BENZ LUXURY BUS Model 404 inabeba abiria 52 Wanaokaa kwenye Viti ipo kwenye condition nzuri na
kuna choo ndani na ya...
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hii link www.bongogadgets .com sijajua kweli unaweza pata kwa wakati au ndio janja saidieni na wengine wanufaike
Wakuu kuna raia mmoja wa kigeni anatafuta msichana na mvulana wa kumfanyia kazi zake za nyumbani kwa muda wote atakaokuwa hapa nchini(miezi mitatu) kabla ya kurudi nchini kwake ujerumani...
Jiachie na spy pen yenye uwezo kurecord video na kupiga picha na sauti kwa Tsh 150,0000/=
uwezo wake ni 4GB
unaweza tumia kama flash disk pia
0655948888
Kwa anayeuza samsung galaxy s3 inahitajika haraka sana, iwe kwenye condition nzuri na accessories zake if possible. Bajeti yangu ni 560k. Kama unauza tuwasiliane kupitia pm, au 0717301520 au whatsapp
Kama hii, huku niliko tunaitoa Bujumbura lakini of recently mafundi wachomeleaji wa huku wameanza tengeneza sasa sioni kama inalipa kusafirisha kutoka huku wakati materials (iron bars, iron plates...
Nina dell xps l501x
core i5, harddisk 500gb na ram 4gb.
Bei 650000.
samsung model np300e5a.
core i5, harddisk 720 na ram 4gb
Bei 700000.
Sio mpya ila zote zina hali nzuri na ukiziangalia...
niko na laptop HP Compaq cq 63, HD 160gb, ram 2gb iko kwenye good look I guess imecrash motherboard coz haitaki kuamka nataka kuiuza kama screpa mnunuzi ajitokeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.