Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo ubungo Dar.. Accer mini RAM 2GB,HARD DISC 320 GB..ipo katikat hari nzuri..imetumika kwa miezi 6 tu.. Price 380000. Contacts 0768497592.
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Ardhi kuanzia heka moja mpaka heka 250 bei ni kulingana na eneo, maeneo yote yanafikika kirahisi kwa gari, bei kuanzia milioni 2 mpaka milioni 3, kwa mawadiliano piga 0717000990/ 0764434673/...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ina vyumba vya kulala vitatu,kimoja ni master bedroom,jiko,sitting room,stoo na dining.pia imezungushiwa ukuta.ipo karibu/nyuma ya sokoni,ina hati miliki bei; tshs millioni 90 Dalali anaruhusiwa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hya tena kwa wale wanaotaka kununuwa Mabasi ya abiria toka Germany MERCEDES BENZ LUXURY BUS Model 404 inabeba abiria 52 Wanaokaa kwenye Viti ipo kwenye condition nzuri na kuna choo ndani na ya...
5 Reactions
107 Replies
17K Views
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana na hii link www.bongogadgets .com sijajua kweli unaweza pata kwa wakati au ndio janja saidieni na wengine wanufaike
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba anayejua wanapouza milango mizuri in Arusha or kama ni mtu anauza let me know please... Regards, Jonathan.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kuna raia mmoja wa kigeni anatafuta msichana na mvulana wa kumfanyia kazi zake za nyumbani kwa muda wote atakaokuwa hapa nchini(miezi mitatu) kabla ya kurudi nchini kwake ujerumani...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jiachie na spy pen yenye uwezo kurecord video na kupiga picha na sauti kwa Tsh 150,0000/= uwezo wake ni 4GB unaweza tumia kama flash disk pia 0655948888
0 Reactions
32 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
875 Views
for more information contact us 0715878575
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayeuza samsung galaxy s3 inahitajika haraka sana, iwe kwenye condition nzuri na accessories zake if possible. Bajeti yangu ni 560k. Kama unauza tuwasiliane kupitia pm, au 0717301520 au whatsapp
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Natafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba 2 (1 master) vya kulala, sebule na jiko katika maeneo niliyoyataja au jirani na maeneo hayo.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kama hii, huku niliko tunaitoa Bujumbura lakini of recently mafundi wachomeleaji wa huku wameanza tengeneza sasa sioni kama inalipa kusafirisha kutoka huku wakati materials (iron bars, iron plates...
7 Reactions
20 Replies
15K Views
Pata mchele safi kutoka magugu kwa 1400@kg.‎؛t the quality product you can afford
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Nina dell xps l501x core i5, harddisk 500gb na ram 4gb. Bei 650000. samsung model np300e5a. core i5, harddisk 720 na ram 4gb Bei 700000. Sio mpya ila zote zina hali nzuri na ukiziangalia...
0 Reactions
0 Replies
711 Views
niko na laptop HP Compaq cq 63, HD 160gb, ram 2gb iko kwenye good look I guess imecrash motherboard coz haitaki kuamka nataka kuiuza kama screpa mnunuzi ajitokeze
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi, I'm looking for a three bedrooms house, fully furnished for one month, coming for holiday with family from July. Thanks
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau JF, Ningependa kuuliza,eti simu za tecno(eg.tecno n3,tecno d5,tecno n7) ni original ama ni fake?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom