Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,464
Habari zenu wa jf
Natumai muwazima wa afya.
Naombeni msaada wenu kwa mtu ambae anaju sehem au mahala naweza kupata machine ya film,
Inayoprint nailoni kama za mikate au mifuko ya plastic,iwe inatumia computer ndani ya tz au nje,
Natanguliza shukraan zangu,
Mawasiliano yangu
ibrah4real@gmail.com
Mobile, +96892321290
Natumai muwazima wa afya.
Naombeni msaada wenu kwa mtu ambae anaju sehem au mahala naweza kupata machine ya film,
Inayoprint nailoni kama za mikate au mifuko ya plastic,iwe inatumia computer ndani ya tz au nje,
Natanguliza shukraan zangu,
Mawasiliano yangu
ibrah4real@gmail.com
Mobile, +96892321290