Wadau wenzangu wa Jamii Forum; Nyumba inauzwa iko mtaa wa Tanga, Ilala. Ni nyumba Na:13! Yeyote anakaribishwa. Kwa mawasiliano zaidi PIGA 0714470505 na utapewa maelezo ya kina.
beach inauzwa maeneo ya kigamboni geza ulole ina ukubwa wa hekari 11 pia ina vithibitisho vyote na imezungushiwa fence bei ni 900,000 usd na atakayeweza pata mteja atapata 5% ni pm
Kwa muhitaji wa till ya tgo pesa na m-pesa awe mkazi wa morogoro na dodoma. Anicheki kwa majibu ya haraka zaidi 0715-100 687 au kwa PM pia kama atakua hana haraka.
Naomba kuwasilisha wahitaji.
Ipad 2 GB 64 is for sale. Tsh lak 550000. Iko saaafi kabisa, inameza chip. Sababu za kuuzwa, mmiliki anataka alipe pango ya nyumba. If ur serious buyer pls PM me...
Sent from my BlackBerry...
Wadau!
We are looking for a consultancy firm or consultant who is qualified to assist to develop policy and other requirements towards ISO certification for our company which is in Dar-es-salaam...
Nyumba ipo kibaha kwa matiasi mtaa wa pili kutoka stand, imesajiliwa kwa namba MKM 2019, ina vyumba vya kulala vinne (4) na sebule. Umeme na maji bado na pia inahitaji finishing, kwasasa inaishi...
top ten reasons to drink argi.
acts to release anti aging
hormones.
affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose control.
reduce blood cholesterol...
Wakuu,
Natafuta kampuni inayojihusisha na usafirishaji/upakiaji/upakuaji na utunzaji wa mizigo katika store yao kabla mizigo haijachukuliwa na wahusika hapa jijini Dar ambayo ina ofisi maeneo ya...
Wana jf kwa wanao itaji mafuta ya UBUYU yanapatikana kwa bei poa tu kwa LITA 1,tz shs:50,000/=NUSU LITA shs 30,000/= kwa waliopo dar es salaam popote ulipo unafikishiwa mzigo kwa anae itaji namba...
Handmade, moisturizing soap with Unrefined Shea Butter and Zanzibar Baobab Oil.
Contact Flavor on 0779000710
REVIEW
Smells wonderful"
This soap is probably my favorite, so far. The smell...
Hiyo phone imekuja ikiwa locked.haina ubovu wowote,kama kuna mteja yupo serious kununua tutaweza kwenda mpka sapna akain unlock na kuhakikisha mwenyewe kuwa simu ni nzima kabisaa!!! Ku unlock peke...
Habari za saizi,
I am selling a canon camera its on a very good condition, its 16 mega pixel lens. Comes with rechargable batteries and its charger plus usb cable. The memory card inside is...