kimweri Jr
Senior Member
- Jun 9, 2012
- 131
- 42
Nyumba ipo kibaha kwa matiasi mtaa wa pili kutoka stand, imesajiliwa kwa namba MKM 2019, ina vyumba vya kulala vinne (4) na sebule. Umeme na maji bado na pia inahitaji finishing, kwasasa inaishi watu. Hahitajiki dalali. Mawasiliano 0658 252658.