Anayehitaji tufanye biashara ya zabibu ninamkaribisha.
Ni zabibu nyekundu, zipo na hali nzuri na mikungu mikubwa.
Bei maelewano kutokana na wingi wa mzigo na ninaweza kukujumlishia shamba zima...
Nahitaji kununua laptop kwa 200000/= bei yangu ilingane na uwezo wa laptop na sio ubovu wa laptop,niheri nipate nzima yenye uwezo mdogo kuliko mbov yenye uwezo mkubwa. Email me@ fjaxyf@gmail.com...
Jamani naomba kuuliza aina nzuri ya jiko la umeme(two plates) ambalo ni imara. Nimetumia Singsung lakini limekufa haraka(miezi mitano tu). Natanguliza shukrani
ndg wataalam. ndg yangu ana mpango wa kufungua huduma ya internet mwezi huu. mwenye utaalam wa kompyuta za internet na kuunganisha service atupie hapa namba yake tuongee..yangu ni 0767 940 494
1. Kiwanja chenye hati kipo Chanika, heka 5 pembeni ya barabara ya lami. Bei Mil 200.
2. Kiwanja kipo Kivule jirani na kitunda ukonga, hatua 17 kwa 30 bei mil 3
3. Viwanja vipo...
Kwa wanawake wanaohitaji msaada wa mbegu za mwanaume,sasa zinapatikana hapa hapa Tanzania kwa bei nafuu. Tunazo mbegu za wanaume waaina 10 mpaka saa hizi katika stoo yetu.
Mbegu ni za ubora wa...
Biashara ya mtando ilianzishwamiaka ya 1960s huko Marekani na milionea wengi wa marekani walianza kushika milioni yao ya kwanza kwa kupitia Biashara hii ya MLM.
Kwa hapa kwetu Tanzania makampuni...
Kama ushawahi tumia au una experience yeyote na aina za discovery hapo chini naomba ushauri wako ukizingatia mambo yafuatayo
mimi ni mjasiriamali hivyo gari itakuwa ni ya mizunguko mingi ya hapa...
Wana JF,
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa huduma zifuatazo:
[LIST]
kupewa ujuzi wa jinsi ya kutumia software ya SPSS au STATA,
[LIST]
Kufanyiwa/kuongozwa kufanya analysis kwa kutumia SPSS au...