Laptop inatafutwa kununuliwa

Laptop inatafutwa kununuliwa

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
mwenye kuuza laptop pungufu au sawa na kilo tatu ani pm au anicheki 0753932250

Waweza weka contacts nikutafute au unaweza kuielezea hapa
 
Mkuu samahani... Unahitaji scrapers? I thot utatoa specs muhimu za laptop unayohitaji but naona umeishia kwenye kilo tu.... Anyways kuna mzigo umeshuka wa laptop kama utafanya subra kidogo itakuwa vizuri.
 
Mkuu kwa kiasi chako ulichoweka hapo sidhani kama utaweza kupata laptop ambayo ni nzima na yauhakika , ila nachokuomba kama utaweza kuongeza tsh 35000, naweza nikakuuzia laptop yangu acer aspire 5532 ambayo ni used lakini ipo vizuri sana na haijatumika sana, kwa maelezo zaidi tuwasiliane kupitia 0752490238
 
mwenye kuuza laptop pungufu au sawa na kilo tatu ani pm au anicheki 0753932250

Waweza weka contacts nikutafute au unaweza kuielezea hapa

mie nauzab Toshiba Sattelite...ina Webcam, ni dual core 2, Ram 2 GB, processoer ni 1.3 Ghz na ina AMD graphics card
Imetumika kwa muda wa mwezi mmoja tu kama unahitaji ni PM au piga 0763925535 Bei 550,000 cash

cheki specifications hizo hapo kwenye attachement
 

Attachments

Back
Top Bottom