Viwanja vinauzwa - Majohe Ilala DSM

Viwanja vinauzwa - Majohe Ilala DSM

Iyokopokomayoko

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2011
Posts
1,785
Reaction score
444
Viwanjwa vinauzwa.

Mahali vilipo:
Mtaa: Kigezi Block 30 & Block 2
Kata: Majohe
Tarafa: Ukonga
Wilaya: Ilala
Mkoa: D'Salaam

Kiwanja cha kwanza:
Ukubwa: Square meter 1168, Bei: Tshs Milioni 17

Kiwanja cha pili:
Ukubwa: Square meter 705, Bei: Tshs Milioni 15

Maelezo ya jumla: Viwanja vyote vimepimwa na vina hati, huduma mhimu zote zipo karibu. Ni mwendo wa dakika 20 kutoka gongolamboto au nusu saa kutoka airport. Mitaa yote imepimwa, kila baada ya nyumba kadhaa kuna barabara.

Picha:

Hii ni barabara kutoka njiapanda ya pugu kuelekea Chanika, viwanja vipo upande wa kushoto kama mita 300 toka hapa barabarani
phpg9l5dPAM.jpg



Viwanja vyote katika mtaa huu vimepimwa, hakuna ujenzi holela
phpxDqcQ1AM.jpg



Sehemu ya kiwanja cha square meter 1168 kama uonavyo mbele yake kuna nyumba
phpS8nFvtAM.jpg


Sehemu ya kiwanja cha square meter 705 kama unavyoona mbele ya kiwanja kuna barabara inapita
phpjK39HUAM.jpg


Kwa mbele kule kidogo mji unaonekana
phpYpfuh4AM.jpg




Viwanja vimepimwa na vina hati. Barabara, umeme, maji, shule nk vipo.

Kwa anayehitaji viwanja hivi au vingine maeneo haya au mengine anipigie au anitumie sms kwenye 0769142586 au unaweza ni PM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom