Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

kama unahitaji Ni PM..iko barabarani..sasa hivi inaenda posta - gongo la mboto
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kweli unahitaji PM nkupe bei na namba zangu. Pikipiki bado mpya kabisa haina mchubuko wowote.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sifa iwe na uwezo wa kuingza nyaya za kingamuzi ili wakat mwngne nipate na tv. Ukubwa inch 18 mpaka 22 Used au mpya. Iwe na hdmi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
viwanja,nyumba zinatafutwa maeneo ya musoma 0766626669
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Kiwanja kinauzwa mita 30 kwa 30 kipo KIMELE (km 3 kutoka Bunju mwisho) kipo kwenye mchakato wa kupimwa. Bei ni Mil 7 maongezai yapo,Kwa maelezo zaidi ni piga 0713445656
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Wakuu kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya kimara king'ong'o km kama 3 ukitoka kituo cha kimara mwisho kuingia ndani. Ni sehemu ambayo watu wanaishi kuna umeme na kila kitu yani pamebaki hapo tu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2 Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!! Na...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Tunatoa ushauri wa bure hususani kwenye masuala ya ujenzi naubunifu wa ramani za nyumba aina mbalimbali,haishauliwi sana kwa wateja kununuaramani barabarani au kutumia uzoefu kwenye masuala ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu nauza camera mpya aina ya canon ixus 220 hs ina mega pixel 12. Unaweza kuigoogle kupata details zake muhimu. Picha zake zina quality nzuri sana 0717183929 ukiipenda tuwasiliane. Bei...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau na Marafiki JF..! Karibuni sana kwenye HOTELI yetu mpya inaitwa PENGUIN RESORT HOTEL,Iko Sakina mita 900 toka Triple A Night Club. Tuna vyumba 31 vyenye hadhi na ubora wa juu,kuanzia maji...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
ANNOUNCEMENTS: 1 Bed room Service Apartments at Nelly's Inn Mbezi Beach: Nelly's Inn is proud to offer a few Apartments now available for just a fraction of the hotel rates.You get to live in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ukubwa wake ni hatua 20 kwa 14,zuri linafaa kwa ujenzi wa makazi,ni zuri tambarare,lipo karibu na kituo cha basi magengeni,bei yake ni tsh 3500000/-anayehitaji anipm.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania jipatieni Tshirt za ukweli ambazo zinachapishwa kwa mashine.utavaa kwa muda mrefu bila kuharibika na pasi. zinapatikana kariakoo mtaa wa sikukuu/udoe Www.waladamin.blogspot.com
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Habari members! naomba kufahamishwa gharama za zote ( gharama kamili) za kuagiza gari aina ya coster ama aina nyingine inayofanana na hiyo kutoka nje ya nchi hadi inanifikia mimi kama mmiliki...
0 Reactions
5 Replies
22K Views
Wakuu nauza townace noah yangu ambayo ni private ila ilishapiga kazi ya abiria ni nyeusi odo 190,000km namba a, bei 5ml, inatembea naitumia kwa kazi zangu zamizigo ya dukani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ps3 Inahitajika...New Au Used... At least 2 Pads. +255 756 412 337
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta RAV4 ya mwaka 1998 ambayo haijatumika Tanzania yenye 3s ENGINE. Kwa wadau wenye uzoefu naweza kupata kwa bei gani? mimi budget yangu ni 14m. Mwenye nayo naomba anijulishe
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani natafuta chumba sebule na choo kwa ndani mitaa ya sinza,mwenge ama kijittonyama haraka mwenye nayo anipm contact
0 Reactions
2 Replies
996 Views
Camera Zingine zinauzwa...Kama Title inavyo Sema Camera Zote Mbili Kwa Lak.Mbili Tuu!! Yani 2 For 2 Camera Used Ya aina Panasonic Lumix Yenye 14.1MP 5X Optical Zoom!! Na...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
kwa anae hiataji maeneo sehemu za mbezi luis kwa ajili ya kituo cha mafuta, kujenga shule, kiwanda e.t.c ani PM, hata ya kukodisha yapo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…