Habari wanajamvi.
Nauza simu aina ya huawei ascend y200
Simu haina tatizo lolote ila naiuza kwa sababu ninazo tatu:
Nakupatia chaja,headphone na memory card yake
Mie niko dar es salaam
0715304808...
Branding package ni kifurushi cha dizaini tofauti za printing ambazo unatengenezewa mahususi kwa ajili ya biashara yako
watu wengi wanaishia kutengeneza nembo (logo) na business card kwa kuhisi...
Wakuu natafuta charger ya Tablet yangu AIRIS One PAD 970 au yoyote ambayo inaweza kukubali kuichaji hii Tab.
Kama unayo,au unajua pa kuipata plz assist me 0752385949
Wadau JF, Tablet yangu Inch 7 imeanguka na kuvunjika KIOO kwa hiyo natafuta KIOO kingine..au kama kuna mtu anayeihitaji tablet ninaweza kumpa kwa bei nafuu zaidi,tablet haina shida yeyote zaidi ya...
SIMBA SOFTWARE is a Bussiness management software developed and supplied by CREATIVE LAB(T) LTD. It has the following features
1. DAILY SALES
2.DAILY EXPENSES
3.PURCHASES
4.CUSTOMER ACCOUNTS...
SIMBA SOFTWARE is a Bussiness management software developed and supplied by CREATIVE LAB(T) LTD. It has the following features
1. DAILY SALES
2.DAILY EXPENSES
3.PURCHASES
4.CUSTOMER ACCOUNTS...
Wapendwa wangu napenda kuwafahamisha kwa yeyote mwenye uhitaji na receipt books,payment vouchers,invoices books,purchase order nk, usisite kunitafta bei inategemea na size pia na quality, kwa...
wadau mi ni mgeni arusha naomba kujuzwa ni gest gan nzuri yenye usalama lakini bei yake iwe kati ya 10,000-20,000 karibu na stendi,au bisiwe mbali na stendi ya kuu
msaada wenu tafadhali
hello ladies,im selling flat shoes from UK,unfortunately at the moment only BLUE COLOR IS AVAILABLE,the shoes are VELVET material,size ranges from 36-40 please PM if ur interested.
price:tsh...
Pata simu mbili Samsung Chat e222 na Huawei y200 zote kwa 160,000 (inapungua hadi 155,000)zote zipo kwenye hali nzuri.
Ni Pm ukiwa interested..Hii ni kwa wakazi wa Dar pekee.
Specifications:
Android 2.36
Soft touchscreen
3G internet
Single line ( tigo only)
Camera
Very fast internet
In a good condition( used for 4 months only, never been dismantled or repaired)
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.