viwanja ambavyo vipo karibu na bandari bagamoyo maeneo ya kitopeni vinauzwa kwa Matumizi Tofauti kwa mfano ku invest, makazi... n.k,,
kila square meter moja ni shilingi elfu nane na vimepimwa pia...
Nahitaji pikipiki used iwe ktk hali nzuri, pia iwe na documents zote, ingependeza ikawa sanlg, fekon au boxer. Dau langu ni shs laki saba. Contact 0714-408238.
Wadau wa JF, mimi nina mashine ya kutotolesha vifaranga. Tatizo ni jinsi ya kupata mayai. Naomba mnisaidie wapi nipate mayai yaliyolelewa kwa ajili ya kutotoleshwa. Niko Mbeya , ILEJE.
Natafuta fundi wa Pikipiki aina ya Honda Sabre VF 750. Tangu nimeileta toka Japan sikuwahi kuitumia. Kama kuna mtu yeyote aliye na pikipiki ya aina hii naomba tuwasiliane ili niulizie fundi wakeni...
Wadau kama tangazo linavyojieleza kila moja shilingi Tsh 15000/= na zingine itagemea na umaarufu wa mtu..lakini haizidi 70000/= napatikana Kariakoo shimoni na hapo ulipo..
A well maintained CR-V for sale at 14,000,000mil ( negotiable price).
Its in dar es salaam and readily available once transaction is complete.
Kindly contact 0718-551122 for more information or...
Hello, nauza simu tajwa hapo Tzs 170,000,ni original na haina tatizo ila ninataka kubadili aina ya simu kwa sasa. Haina michubuko ila kidogo ktk maandishi ya neno blackberry. Asanteni
Sent from...
Habari,
Kwa wale wanaohitaji unga wa ugali wa dona wawasiliane na mimi. Unga huu umetengenezwa kutokana na mahindi na ngano bila kukoboa ili kubakisha virutubisho vyake mhimu kwa afya...
Habari wanandugu wa JamiiForums.
Je umeletewa zawadi simu ya iphone kwa bahati mbaya haikubali kutumika na mitandao ya hapa Tanzania? Au umenunua mwenyewe lakini hukujua kama haitatumika na...
habari wa JF nina ps 2 nauza ipo kwenye hali nzuri. inatumia flash kucheza games pia ntakupatia chaji, video wire na padi 1. Kama unaitaji nicheki kwenye 0716-369299. bei ni 160,000/=
Nyumba ya vyumba vitano vya kulala
Ipo eneo la Manzese Tip Top inauzwa.
Nyumba ina hati. Bei inaanzia 85m. Maelewano yapo
Kwa mawasiliano piga 0719173017
Specifications:
HHD = 120GB
RAM= 2GB
PROCESSOR= Duo core
DVD-RW
It is a used pc but still in a very good condtion.
Price: Tshs 300,000/=
Contacts: Just send your sms to 0769142586
Who come...
Wadau, Habari za Ujenzi wa taifa!
Kuna Laptop Inauzwa, Imenunuliwa takribani miezi 4 iliyopita ikiwa MPYAAAA! Hizi ni baadhi ya sifa zake
Hard Disk: 500GB
Memory:(RAM) 2GB
Processor: Intel(R)...
Vyumba vya kupanga(chumba na sebule) vinapatikana maeneo ya ubungo darajani, ni self-contained. Bei ni 100,000/= kwa mwezi, kulipia ni miezi 6, kwa anayehitaji aniitumie private message(PM) kwa...