Digital camera mzuri ikoje na inauzwa bei gan?

Digital camera mzuri ikoje na inauzwa bei gan?

JEMEDARI .H.

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
341
Reaction score
63
Wakuu naomba mnisaidie ni aina gan ya digital camera n mzur na bei zake zikoje? pia sio mbaya kama mkiniambie sehemu zinakouzwa.
 
Wakuu naomba mnisaidie ni aina gan ya digital camera n mzur na bei zake zikoje? pia sio mbaya kama mkiniambie sehemu zinakouzwa.

Nitafute nikuuzie nokia e63 used ila ipo poa ina kila kitu chake laki na 60 inasoma pdf na ipo fasta internet yake pia namba 0716928197
 
Nitafute nikuuzie nokia e63 used ila ipo poa ina kila kitu chake laki na 60 inasoma pdf na ipo fasta internet yake pia namba 0716928197

nnecheka sana... mkuu hujui hata digital cAmera ni nini!?
 
Back
Top Bottom