Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Huawei ascend200 used, kwa aliyenayo aniPM tafadhali!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza iphone 4s nyeusi ya 32gb, iko kwenye condition nzuri sana. Ni factory unlocked na imetumika kwa miezi mitatu, haina michubuko kabisa. Imekuwa upgraded to ios 7. Bei tsh 550,000. Kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ram 1gb hdd 500gb ni dell flat screen tsh 350000 haipungui 0757510219
0 Reactions
3 Replies
1K Views
boxer bm 150 inauzwa kwa bei ya 1,600,000 imetumika miezi 6...tuwasiliane kwa namba 0717 022737
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Sold..
0 Reactions
33 Replies
3K Views
naitaji min laptop hdd iwe 80 na ram 2..iwe inakaa na chaji kwa mda mrefu ilo muhimu sana nipo arusha.mwezi wa 11 ndio naitaka kwaiyo dili hiyo. mwenye bei inayoridhisha ani pm.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptop Acer Aspire 4739z, inauzwa ipo katika hali nzuri kabisa(imetumika miez 3). specification zake: hard disk 500Gb, Ram 2Gb na processor ni 2.13GHz, Web cam, bei ni tsh 400,000(maelewano yapo)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Kaka/Dada zangu wa JF, Mimi ni kijana wa kitanzania, mwenye umri wa miaka ishirini (20). Nikijana mpenda maendeleo na kupenda kusaidia vijana na taifa zima kwa ujumla. Namshukuru...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
HTC ONE X used for les than a month
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tunauza simu kutoka japan kwa bei nzuri 1.galaxy s kwa 250,000/= 2.galaxy s2 kwa 350,000/= 3. Galaxy s3 kwa 470,000/= ukitaka mpya pia tutakuuzia wasiliana nasi kwenye namba o788264684 kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bajaji aina ya PIAGGIO inauzwa na bei yake ni poa na maelewano ipo katika hali nzuri kwa muhitaji nicheki kwenye 0716749125
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Very big house excellent location good neighborhood close 2 new bagamoyo road opp newly shamo shopping complex can accommodate 2 families n have offices on top or more bedrooms can park up to 10...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Ndugu wana JF,naomba mnisaidie kupata email adress za makampuni ya gesi huko mtwara
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna kiwanja kinauzwa mbezi ya kimara ukubwa 20×20 kwa mawasiliano piga 0757910088
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunatoa huduma ya kunatengeneza database system kwa ajili ya biashara kubwa na ndogo kwa bei NAFUU kabisa Je kwa nini ni muhimu kwa biashara yako kuwa na database system. Faida za kuwa na database...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wapendwa, leo nimekuja na hli, kuna nyumba mbili zinauzwa maeneo ya Temboni, Saranga Kilimahewa. Nyumba moja ína vyumba vya kulala vi3 na sebule kubwa, jiko nje na choo nje. Nyumba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Stylus CX4300 All-in-One (Print, Scan, Copy) Color InkJet Printer, 5100dpi x 1400dpi, Black – 25ppm, Color – 13ppm, USB The Epson Stylus CX4300 is ideal for the home and small office user...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sqm 75000,located along Mkuranga-Kisarawe Road.It is suitable for industrial purpose,poultry farming,school/college and mango farming.Electricity is already in place.3km from kilwa mainroad and...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wakuu poleni na mihangaiko nilikua nauliza hapa dar ni maeneo gani wanauza fridge ndogo nzuri kuanzia 150000 - 200000
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je wewe ni mfanyabiashara wa nguzo za umeme? Miti ya milingoti iliyotimia nguzo za umeme inauzwa. Ipo Igeleke - Mufindi. Gharama ni Tsh 30,000/= kwa mti mmoja. Contact: 0687 022411
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…