Tangazo!! Nyumba zinauzwa zipo mbili

Tangazo!! Nyumba zinauzwa zipo mbili

Nyrum

Senior Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
124
Reaction score
41
Habarini wapendwa, leo nimekuja na hli, kuna nyumba mbili zinauzwa maeneo ya Temboni, Saranga Kilimahewa. Nyumba moja ína vyumba vya kulala vi3 na sebule kubwa, jiko nje na choo nje. Nyumba nyingne ina masterbedroom na jiko ndani, vyumba vi3 na sebule kubwa. Nyumba zipo jiran zote, pia zimefanyiwa finishng na gypsum na tiles zote. Bei maelewano. Ukitaka nyumba moja unauziwa. Zina mwaka mmoja tangu zijengwe. Kwa muhtaj aniPM. Au no 0765738888. Karibu 1381325143029.jpg
 

Attachments

  • 1381325169430.jpg
    1381325169430.jpg
    53.4 KB · Views: 166
  • 1381325185408.jpg
    1381325185408.jpg
    101.7 KB · Views: 169
Nyumba1 inauzwa mil50 pungufu tunaongea. nicheck 0765738888
 
Nyrum Hicho choo cha nje ni cha kushare kwa hizo nyumba mbili? maana nikisoma tangazo lako vizuri sioni kama kuna sehemu ya choo cha jumuiya kwa nyumba hiyo ya pili baada ya master room, je choo (namaanisha cha jumuiya) kipo ndani kwenye hiyo nyumba ya pili au ndo hicho hicho cha nje ambacho pia ni cha nyumba ya kwanza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom