Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji eneo la kukodi kwa ajili ya Beach-kigamboni............nijuze garama na location. link//http//?>>//hestonejr@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Gari AINA RAV4 L, mkanda wake mwaka 2000, rangi yake ni nyeusi. Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke. Bei yake million 11. Sababu ya kuuza: nimeagiza gari nyingine ...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini marafiki Ninauza vitabu vya dini aina ya IFAHAMU MSINGI YA SIFA NA KUABUDU na kitabu cha TENZI ZA ROHONI KWA BEI NAFUU ambayo ni Tshs 5,000@1 na Kitabu cha WOGA kiko kiwandani bado...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Nauza simu ya samsung galaxy s2, iko kwenye hali nzuri. Inakuja na charger, na flip cover. Kwa maelezo zaidi pm or nichek at 0717301520.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari gani wakuu, Kwa mara ingine tena,niko viwanja vinne ambavyo viko maeneo ya londoni singida ,maarufu kwa uchimbaji wa gold. kwa ambaye atakua interested,tunaweza tukaamua kufanya ubia,na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Bei isiwe zadi ya lak 1. Kama ipo ni PM.
0 Reactions
0 Replies
980 Views
GARI IMEWEKWA RIMU ZA SPORT (ALLOW RIMS)INSURANCE NI COMPREHENSIVE MPAKA 7/2014.IMEMILIKIWA NA MTU MMOJA TU!TANGU ITOKE JAPAN. Toyota :CELICA Model :TA-ZZT230 Engine Size: 1,790cc...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Samsung Nexus S inauzwa Bei 230,000. Mawasiliano 0787577755 au 0717577755. Specification zake hizi hapa chini! us S review: Royal droid Read opinions Compare Pictures 360° view Related phones In...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
no need to use dat thing.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imetumika kwa miezi miwili ipo kwenye condtion nzuri (CAUTION INATUMIA LINE YA TIGO TU) Specification÷ 4-inch 480 x 800 pixel screen 4GB storage, 800MB accessible Android 4.1 with custom UI...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
kina ukubwa wa 45 urefu na 30 upana,bei ni milioni 8,kwa mtu ambaye yupo seriuos bei itapungua.0686581661.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mwenye gari aina ya rav4 old model namba C ambayo bado iko poa ani PM nina 12m
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huawei ascend200 used, kwa aliyenayo aniPM tafadhali!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza iphone 4s nyeusi ya 32gb, iko kwenye condition nzuri sana. Ni factory unlocked na imetumika kwa miezi mitatu, haina michubuko kabisa. Imekuwa upgraded to ios 7. Bei tsh 550,000. Kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ram 1gb hdd 500gb ni dell flat screen tsh 350000 haipungui 0757510219
0 Reactions
3 Replies
1K Views
boxer bm 150 inauzwa kwa bei ya 1,600,000 imetumika miezi 6...tuwasiliane kwa namba 0717 022737
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Sold..
0 Reactions
33 Replies
3K Views
naitaji min laptop hdd iwe 80 na ram 2..iwe inakaa na chaji kwa mda mrefu ilo muhimu sana nipo arusha.mwezi wa 11 ndio naitaka kwaiyo dili hiyo. mwenye bei inayoridhisha ani pm.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Laptop Acer Aspire 4739z, inauzwa ipo katika hali nzuri kabisa(imetumika miez 3). specification zake: hard disk 500Gb, Ram 2Gb na processor ni 2.13GHz, Web cam, bei ni tsh 400,000(maelewano yapo)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Kaka/Dada zangu wa JF, Mimi ni kijana wa kitanzania, mwenye umri wa miaka ishirini (20). Nikijana mpenda maendeleo na kupenda kusaidia vijana na taifa zima kwa ujumla. Namshukuru...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…