Nauza Gari AINA RAV4 L, mkanda wake mwaka 2000, rangi yake ni nyeusi.
Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke.
Bei yake million 11.
Sababu ya kuuza: nimeagiza gari nyingine ...
Habarini marafiki
Ninauza vitabu vya dini aina ya IFAHAMU MSINGI YA SIFA NA KUABUDU
na kitabu cha TENZI ZA ROHONI KWA BEI NAFUU ambayo ni Tshs 5,000@1
na Kitabu cha WOGA kiko kiwandani bado...
Habari gani wakuu,
Kwa mara ingine tena,niko viwanja vinne ambavyo viko maeneo ya londoni singida ,maarufu kwa uchimbaji wa gold.
kwa ambaye atakua interested,tunaweza tukaamua kufanya ubia,na...
GARI IMEWEKWA RIMU ZA SPORT (ALLOW RIMS)INSURANCE NI COMPREHENSIVE MPAKA 7/2014.IMEMILIKIWA NA MTU MMOJA TU!TANGU ITOKE JAPAN.
Toyota :CELICA
Model :TA-ZZT230
Engine Size: 1,790cc...
Samsung Nexus S inauzwa Bei 230,000. Mawasiliano 0787577755 au 0717577755.
Specification zake hizi hapa chini!
us
S review: Royal droid
Read opinions
Compare
Pictures
360° view
Related phones
In...
Imetumika kwa miezi miwili ipo kwenye condtion nzuri (CAUTION INATUMIA LINE YA TIGO TU)
Specification÷
4-inch 480 x 800 pixel screen
4GB storage, 800MB
accessible
Android 4.1 with custom UI...
Nauza iphone 4s nyeusi ya 32gb, iko kwenye condition nzuri sana. Ni factory unlocked na imetumika kwa miezi mitatu, haina michubuko kabisa. Imekuwa upgraded to ios 7. Bei tsh 550,000. Kwa...
naitaji min laptop hdd iwe 80 na ram 2..iwe inakaa na chaji kwa mda mrefu ilo muhimu sana nipo arusha.mwezi wa 11 ndio naitaka kwaiyo dili hiyo. mwenye bei inayoridhisha ani pm.
Laptop Acer Aspire 4739z, inauzwa ipo katika hali nzuri kabisa(imetumika miez 3).
specification zake: hard disk 500Gb, Ram 2Gb na processor ni 2.13GHz, Web cam, bei ni tsh 400,000(maelewano yapo)...
Habari Kaka/Dada zangu wa JF,
Mimi ni kijana wa kitanzania, mwenye umri wa miaka ishirini (20).
Nikijana mpenda maendeleo na kupenda kusaidia vijana na taifa zima kwa ujumla.
Namshukuru...