Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanaJF Nahitaji brevis kali budget yangu nacheza 5M.....kama kuna mmiliki yupo humu anayo aje inbox...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari Nadesign na kutengeneza Pete kwa mahitaji mbali mbali kama engagement, harusi, na matumizi ya kawaida. Vile vile natoa ushauri juu ya jewelry za gems mbali mbali. Unaweza kupata Pete ya...
6 Reactions
56 Replies
36K Views
Tunapatikana vikindu barabara ya lindi Ukitokea mjini Dsm Gerezani kisemvule Kigamboni mkuranga Temeke kisemvule Muhimbili mwandege Shuka kituo kinaitwa magogo matatu Watakuleta mtaa wa DR HAULE
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Wakuu naomba mnisaidie eti ni laptop yenye specs gan anayotakiwa kua nayo mwanafunzi anayechukua Bacherol of science in multimedia technology and animation
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Salaam wadau...nauza mbwa (puppies) aina ya Spitz Terrier,ni madume na sasa wana wiki 6.Nauza laki 4 kila 1.Kwa mawasiliano zaidi 0689900000.Karibuni
2 Reactions
38 Replies
7K Views
Ram 12 storage 256 Double line Camera :unyama sana Haina kipengele Tabora mjini nipo 0766445858 Bei:650000/=
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Humu kuna vitabu mbalimbali vya kiswahili. Tumebadili namna ya ulipaji. Sasa unaweza kusubscribe kwa Tsh 6000 na kusoma vitabu vyote mwaka mzima. Kila mwezi tunaongeza vitabu kadhaa...
2 Reactions
58 Replies
13K Views
🏖️ Kaole Beach Plots Project! Je, Unataka kuwa jirani na bahari? Mradi wa Viwanja Kaole Beach Plots unakusubiri! Eneo lipo mita 500 tu kutoka baharini, Bei ni TZS 13,000/= kwa mita ya mraba...
2 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari upo morogoro na unatafuta fundi Karibu upate mafundi waaminifu huduma tutoazo FUNDI MADISHI FUNDI UMEME FUNDI MAFRIJI Karibu upate huduma za KUFUNGA TV UKUTANI, huduma zote zinazohusu...
1 Reactions
0 Replies
442 Views
Kahawa Safi iliyoandaliwa kwa umakini, inapatikana. A. 0.5Kg Tshs 13,000/= B. 1kg = Tshs 25,000/= Maximum package hadi 5kg. Popote pale ulipo, unaweza kuipata Call: 0715 240 140 Whats: 0715...
0 Reactions
3 Replies
660 Views
Habari Wana JF, Kama Kichwa Kilivyoeleza. Nahitaji Eneo la Biashara ya Chipsi Na Mgahawa Kwa Kupanga Na Ikiwezekana Tuma Na Picha Ya Eneo Lenyewe tuje tuingie Mkataba. Haya ndo Maeneo...
2 Reactions
1 Replies
750 Views
Nauza jack za umeme.hizi n nzur sababu Kwanza zinapunguza matumizi ya nguvu n kuruhusu umeme wa gari ufanye kaz.pia znafungua tyre pamoja na kujaza upepo,jack Hz utumia umeme wa gari ambapo...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Fridge aina ya Mr UK linauzwa hapa Arusha, bei chee, lina warranty ya miaka miwili Kwa mawasilino zaid 0786 998 436
0 Reactions
2 Replies
742 Views
Wakuu kuna hawa Ng'ombe Aina ya Fleckvieh ambao ni Dual- purpose cow yaani wanafaa kwa ajili ya Maziwa na Nyama na wanatoa maziwa Mengi labda kuliko aina yoyote ile ya Ng'ombe. Nilitaka kujua...
1 Reactions
78 Replies
36K Views
Porte Cc1490 Full Ac Bei M5.9 Garii nzurii mno 0783299186 0r 0716095123
3 Reactions
7 Replies
645 Views
Wakuu habari, Nauza ITEL A24 SPECS RAM 1GB ROM 16GB SCREEN SIZE 5" BATTERY (Removable) - 2400MAH Ni simu ya promotion ya tigo, line 1 ni tigo & line 2 laini yoyote inakubali Ni mpya kabisa...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Habari wakuu, Natafuta nyumba ya kupanga iwe na sifa zifuatazo; 1. Iwe maeneo ya Riverside Dar es Salaam 2. Isiwe mbali sana na stendi ya Riverside 2. Iwe na chumba kimoja master na sebure 3...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunafanya huduma ya water proof maeneo yafatayo. TOP ROOF( CONCRET) (paa la juu la zega) HIDDEN ROOF (nyumba za kisasa) WATER TANK (matanki ya maji) tunatumia vifaa madhubuti kuhakikisha...
1 Reactions
3 Replies
742 Views
Je, unatafuta njia mpya ya kujiongezea kipato chako na kuanzisha biashara yako mwenyewe? Tunayo fursa nzuri kwa ajili yako! Jiunge na Programu yetu ya Reseller leo na uanze kujipatia pesa kwa...
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Nauza kioo cha saluni ni kikubwa bei laki 1, kipo mtoni kijichi. Mawasiliano 0784427363.
0 Reactions
2 Replies
523 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…