Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Haya haya kwa wapenzi wa Music, pata mali kwa bei inayoendana na quality: mzigo wireless, bluetooth ndani ni kwa tsh 200,000 tu. Used headfones, nimezinunua in two weeks, ila ninabadilisha ndio...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WAVUVI WA PESA Niko mbioni kutoa kitabu hicho. Kitafichua utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wanaojiita watumishi wa Mungu! Stay tuned!
1 Reactions
111 Replies
10K Views
Nachora ramani za nyumba na majengo mbalimbali, napatikana akiba posta kwa mawasiliano 0714 155854
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu heshima zenu. Mimi nahitaji gari kwa haraka. Liwe na 4 wheel drive,preferably SUV body,liwe limetembea chini ya kilometa 100000 na ndani pawe na mvuto sana. Sipendelei rangi zifuatazo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau kenta inauzwa ipo daresalaam ni ya tani 2 na nusu. Engine yake ni 33 na inabinua vizuri. Bei yake ni shilingi milioni 18.(18,000,000/=) kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii 0754 834839
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza sumsung yangu anayehitaji ani pm ni original
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tupia picha na specifications zake tufanye biashara,tunamalzana hapa hapa jamvini,hakuna cha pm wala no ya simu kwa sasa.serious sellers karibuni.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari wakuu,, nauza vodacom modem ipo safi,hizi mpya na usb cable yake kwa 25.k tu,, 0712 507060..karibuni..napatikana nwenge
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Looking for above mentioned phone in black/gold - 16GB. Call 0712868178
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Kiwanja kinauzwa kipo BUYUNI eneo linaloitwa SHERATON barabara iendayo CHANIKA karibu kabisa na OIL COM pia na MONTESSORI. Kiwanja kina UREFU 32 na UPANA 17 miguu ya mtu mzima. Bei ni 4.5M...
0 Reactions
1 Replies
998 Views
wakuu nahitaji meza ya ofisi used ama mpya iwe na hali nzuri vizuri iwe zle za kichina nna laki moja
0 Reactions
1 Replies
2K Views
used note 1 for sale for 430k at gud condition.contact 0654272339
0 Reactions
1 Replies
666 Views
yeah nauza HTC chacha imetumika mwezi mmoja tu(simu nzuri na adimu ni button na touch) kwa maelezo zaidi check gsmarena.com nauza kwa laki tatu(300,000) tu...pia nina techno Q1 kwa laki na...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
kwa wale wote wenye shida na umeme......mimi ni fundi umeme wa majumbani na vifaa vyote vya umeme....naishi mabibo Dar es salaam.....nipigie kupitia 0713 190 118
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Visit http://www.mnada.co.tz and bid or buy just about anything from Verified Sellers. GODFREYELECTRONICS and RICKAZ both Verified Sellers have listed a range of products as shown below for...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina habari njema kwa vyama vya siasa nina hazina kubwa. Ni mtu ambaye napenda sana kuimba lakini na kutunga na kwa sasa nimeamua kusoma music note niwe professional in Music. Nataka kuanzisha...
0 Reactions
2 Replies
900 Views
ninauza htcwild fire s bei mia 150000..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye hiyo simu aniambie na bei naitaka sana hiyo simu
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa, Nategemea kulima acre 15 na zaidi za mahindi kwa kutumia mbegu mpya ya H600. Kwa matarajio yangu, nitavuna mnamo mwezi wa 6/7 mwakani (2014). Kwa mwenye mahitaji makubwa ya mahindi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu na hasa wadada wanaojipenda Nywele ni Indian remy toka India zinapatikana na ni real human hair kabisa yaani wanakata nywele zao na kuuza. Nywele zinazopatikana ni Weaving size zote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…