Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,039
- 13,471
Tupia picha na specifications zake tufanye biashara,tunamalzana hapa hapa jamvini,hakuna cha pm wala no ya simu kwa sasa.serious sellers karibuni.
nnavyo vyote nna laptop samsung ram 2gb, hhd 320 ina miezi 2 ina prgrm za kutosha, DIGITAL CAMERA NI SAMSUNG MEGA PIXEL 16 INA WIKI MOJA MEMORY 4GB bt ongeza salio mpaka 550000 nicheki 0766988326 kama uko tayari.
Tupia picha na specifications zake tufanye biashara,tunamalzana hapa hapa jamvini,hakuna cha pm wala no ya simu kwa sasa.serious sellers karibuni.
mbona bei ndogo sana hii kupata kitu chenye quality..
hyo laptonga ni mpya au imetmika kwa muda gani? Mi npo songea.nnavyo vyote nna laptop samsung ram 2gb, hhd 320 ina miezi 2 ina prgrm za kutosha, digital camera ni samsung mega pixel 16 ina wiki moja memory 4gb
ina miezi miwili mi npo dsm
poa. Kuna mtu atakuja kuiona hapo kesho,ntampa contact zako.