Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 92
Wakubwa, Nategemea kulima acre 15 na zaidi za mahindi kwa kutumia mbegu mpya ya H600. Kwa matarajio yangu, nitavuna mnamo mwezi wa 6/7 mwakani (2014). Kwa mwenye mahitaji makubwa ya mahindi (shule, hotel, kambi, duka la jumla, etc) awasiliane nami. Ni-pm au piga 0769 608 996. Pengine utajiuliza kwa nini uwasiliane nami wakati mahindi ni mengi; jibu ni rahisi - kwa kuwa utakuwa umeweka booking mapema, nategemea kukuletea hadi mahali pako pa store hapa dar au pwani na pia utapata bei ya upendeleo (preferential price). Bei ya upendeleo ni kwa wale wanaohitaji tani moja na zaidi. Karibuni sana wanunuzi wa ukweli.