Tafadhali naomba mnisaidie wana jf.Natafuta kazi/kibarua au kazi yoyote naweza fanya.nina ujuzi wa computer na elimu yangu imeishia advance certificate.mimi ni muaminifu na mchapa kazi.sichagui...
Imetumika kama wiki2 tu mpaka box unapata
Ina screen protector na back cover
Kamera mbili nyuma na mbele+ledflash right na fm radio
Skype,watsapp,instergram,fbook,jamii forum,tweeter,yahoo,gmail...
Wanajf kwa wale watumiaji wa Samsung Galax S 2 Kuna bank charger zinauzwa from dubai ambapo ukitiumia hiyo bank charger itasaidia kurecharge betry yako soon inapoisha charge ,,,bank charger ipo...
Nipo Kigamboni, pesa hiyo nimejumuisha na usafirishaji mpaka hapa nilipo, friji liwe dogo kabisa na used(sio used bovu).
Nikiridhika nalo nakulipa pesa cash huwa sina ubabaishaji.
Kama unalo njoo...
Kiwanja kipo vikindu,njia ya kwenda chuo cha ualimu,ni tambarare na gari inafika hadi kiwanjani
Bei milioni3,maongezi yapo.dalali hatakiwi kama ni muhitaji ni PM nikupe namba yangu nitakupeleka...
Habarini,
jamani najua kwenye jukwaa kuna
watu wenye fani mbali mbali humu
ndani. Mimi nina wazo la kufungua
Duka la Dawa mkoani Singida.
Nahitaji anaye fahamu utaratibu WA
kufungua duka...
habar wana jamii. nauza kiwanja changu kipo
mikwambe dar es salaam.mikwambe ipo bara bara
ya kigambon kongowe. Kiwanja kipo kwenye mtaa
uliojengeka vizuri na wenye bara bara za mtaa.
Huduma...
Kiwanja kipo vikindu,njia ya kwenda chuo cha ualimu,ni tambarare na gari inafika hadi kiwanjani
Bei milioni3,maongezi yapo.dalali hatakiwi kama ni muhitaji ni PM nikupe namba yangu nitakupeleka...
habar wana jamii. nauza kiwanja changu kipo mikwambe dar es salaam.mikwambe ipo bara bara ya kigambon kongowe. Kiwanja kipo kwenye mtaa uliojengeka vizuri na wenye bara bara za mtaa. Huduma zote...
WanaJF habari zenu,
Mwenzenu nimepata Matatizo hivyo ninauza Shamba langu lenye ukubwa wa hekari 2.5 lililoko Kigamboni eneo la Buyuni.
Shamba liko Salama halina Mgogoro wowote ni langu binafsi...
Habari waheshimiwa
Ninauza cpu za desktop sifa zake ni PROCESSOR 2.8 GHZ,RAM 256mb,hard disk 40gb,zipo katika hali nzuri,bei 119,000/=nipo dar,simu 0767327429