Nauza simu yangu kwa shida za kifedha.
Details kama internal memory ni 64 GB RAM ni 3GB
Bei 190,000
Niko old moshi ...Moshi mjini
Mawasiliano 0756294771....karibuni wandugu .........
Mambo yakuzingatia
Kufokasi ni msingi mojawapo muhimu sana sana kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo. Bila kufokasi kwenye maeneo nitakayoainisha hivi punde haiwezekani kujenga himaya ya...
Habari JF,
Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba
Chumba kiwe ni kikubwa...
Nyumba inapangishwa kimara Korogwe Kwa mkua njia ya kuelekea Tabata,
Ina vyumba 2 vyote master maji yana flow ndani
Ina sebule kubwa na jiko
Gypsum na tiles mpaka chooni
Kodi 200,000 kwa mwezi...
Tangaza biashara au tangazo lolote halali la sauti lisilozidi dakika moja kwa shilingi 500 tu. Rekodi tangazo lako kwa simu au njia nyingine na uweke namba za mawasiliano kwa kuzirudia mara tatu...
MICHE YA MATUNDA YA MUDA MFUPI SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU TANZANIA
FAIDIKA NA KILIMO CHA MATUNDA ππ₯ππ²π΄
π΄ MATUNDA NI CHAKULA
π²MATUNDA NI DAWA
π MATUNDA NI UTAJIRI
Jipatie Miche Bora ya...
toyota noah
Bei:8,850,000
Mwaka: 2003
Aina ya Mafuta: petrol
Umbali: km 116,003
Injini 1998
Transmission: automatic ,,,,,,,vimelipiwa vibali
ac inafanya kazi vizuri na redio ipo powa
Linapatikana...
Habar,
Leo nimeamua kuwaletea habari njema kwa wale wanaopenda kununua gari lakini kipato chao au akiba yao haijafikia thamani halisi ya gari basi usihofu
Miliki gari yako kupitia sisi kwa njia...
Habari wadau,
Ninatoa huduma za Usajili wa Makampuni BRELA
A] usajili wa Jina la Biashara
b] usajili wa kupata cheti cha kuzaliwa toka NIDA
C] kutengeneza company profile na annual report
d]...
Toyota Harrier NEW model π *(EDG)
Year 2010
βοΈ0689-357-572 }whatsapp β
βοΈ0768_041_126 }whatsapp β
Engine Capacity Cc 2360
Engine 2AZ
Automatic gear
Mileage 55,338km
Full option Music Android...
Kipo ukonga msimbaz miguu 28 kwa 58 kina mawe ya serikali yamtaa bei milion 6.5 maongez yapo umeme maji upo ni dakika 15 tu ufike gereza la ukonga yaan main road mawasiliano 0763932278 .
Habari wakuu.. Natafuta Toyota landcruiser station wagon au pickup kwa ajili ya kuifanyia conversion kuwa safari car ya kubeba watalii. Tuma picha za nje, ndani na engine pamoja na details za gari...
Habari wakuu,
Infinix smart 6 inauzwa, Good Condition imetumika miez 3 tu!
Inatakiwa laki moja na tisini chapu,
Simu haina tatizo lolote lile.
Nipo Tabata Kimanga, kwa mawasiliano zaidi
No...