Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mashine n mpya Npe 1.4M Kujieleza 📞📞07
1 Reactions
7 Replies
742 Views
Naombeni msaada wa daktari mzuri wa ngozi special case albinism ni haraka sana asanteni awe dsm!
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Habari wakuu Nauza vifaa vya saloon ya kike kwa ajili ya kucha na kutengeneza nywele ,vifaa ni bado vipya kabisa . Location Kinondoni Dar es salaam. Contact/namba;0623524725
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani Dodoma. Nina Dagaa nyama kutoka Tanga kilo za kutosha nahitaji kupata wanunuaji. Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada wenu kwa Dar es Salaam naweza kupata wapi vitabu vya siku nyingi vya mwandishi mashuhuri Mohammed Said Abdulla. Nimetembea katika baadhi ya maduka ya vitabu bado sijafanikiwa...
2 Reactions
10 Replies
12K Views
Nina TAWI makumbusho nahitaji kijana mwenye kuweza kushirikiana nami kuiendea ndoto yangu mpaka nije kumpa share kwenye kampuni ninayoiota... Akiwa na elimu ya darasa lasaba lakini ana ugenius...
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Kama una access nazo njoo inbox please..
0 Reactions
1 Replies
496 Views
Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi. Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Tunakodisha Playstation 4 Games zilizopo Fifa 24 GTA V Call of duty modern warfare Need for speed heat Mortal kombat Hogwarts Legacy bei ni kama ifuatavyo Saa tatu asubuhi hadi saa tatu usiku...
1 Reactions
1 Replies
596 Views
Nimenunua pixel 5 kwa ajili wife kasema kadogo anataka simu ya kujaa mkononi, naiuza bei hiyo ina wiki tu. RAM 8GB, 128GB STORAGE. HAINA SHIDA YOYOTE CHAJI INAKAA ASUBUHI MPAKA JION DATA IKIWA...
1 Reactions
7 Replies
823 Views
Mambo yasiwe mengi, Nahitaji supplier mwenye mfuko ya kilo 25 na kilo 50 kwa bei ya jumla alete quotation yake na contact au physical address tufanye biashara. Karibuni.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Usikubali Kupitwa Na Mvua Za Msimu Bila Kupanda Miti Shambani Kwako. Msimu wa Mvua ni mzuri kwa upandaji wa miti ya matunda pamoja na Ile ya mbao kwani hupunguza gharama za umwagiliaji na mahitaji...
4 Reactions
36 Replies
9K Views
Habarini za majukumu wakuu naombeni mniambie anayejua duka linalouza uniform kama zinavyoonekana pichani hapo
1 Reactions
10 Replies
740 Views
🔥🔥🚘🚘🚘 ON SALE (EEP) - SUBARU IMPREZA Price 14.5ML 0768160670 SUBARU IMPREZA ¥ KALI SANA Color 🖤 BLACK LOW MILEAGES Engine 1490 Low mileage New tyre Clean sana DAR ES SALAAM 0768160670...
1 Reactions
0 Replies
502 Views
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani. Kina ukubwa wa Square meter 1080 Bei million 13 kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
0 Replies
501 Views
BRAND: GOOGLE PIXEL 6A Technology GSM / HSPA / LTE / 5G LAUNCH Announced 2022, May 11 Status Available. Released 2022, July 21 BODY Dimensions 152.2 x 71.8 x 8.9 mm (5.99 x 2.83 x 0.35 in)...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja Mbweni. Bajeti yangu Mil.70. Ukubwa at least 900sqm SITAKI MADALALI. Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364. Just Whatsapp...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi water pump generators,,,brand name gani ni imara kwa shughuli za umwagiliaji?..ushauri unahitajika,,ikiwezekana ata bei nifahamishwe..Asanteni kwa wasaa wenu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu. Tafadhari rejea kichwa cha mada. Ninauza pikipiki yangu niliyokua natumia kwenda kazini yenye usajiri namba DEC bei Tsh 1,250,000 iko katika hali nzuri sana haijaguswa engine kabisa...
8 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom