Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon,awe wa kike au wa kiume,kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti...
3 Reactions
6 Replies
876 Views
Tv ipo dar es salaam location za mansese, tv ni mpya kabisa lakini imekufa kioo tu. Kwa iyo nauza hivyo hivyo ilivyo. Naposema nauza tv iliyokufa kioo sio wote watanielewa! Taarifa hii inawahusu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wanajami, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida. Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Habari ndugu? Nina mchele Kigoma Malagarasi(Musoma) nahitaji namba za dereva muaminifu anibebee kuja Morogoro. Zipo gunia 8 za kilo 100. Karibu Pm. NITALIPIA
1 Reactions
6 Replies
440 Views
Nipo mtoni kijichi mtaa wa mgeni nani Nina shida na gari la maji taka
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Biashara..ofa ofa ofa...miliki studio yako ya kurekodi muziki kwa tsh laki 2 tu....vifaa hivi 》》mic,sound card,filter,stand piga simu...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna kabiashara kangu hapa DSM, nimeleta mfanyakazi toka mkoani, nahitaji kumpangishia chumba kimoja self, 1. Chumba 1 self maeneo ya Kawe, mwenge, msasani, au popote nitachagua nikipapenda...
2 Reactions
10 Replies
755 Views
Wakuu, naomba kwa mwenye connection ya wamiliki au wafanyakazi katika maduka ya Jumla ya Mtaa wa Liberty au popote jijini Mwanza anisaidie. Lengo kuu nataka kufanya nao mawasiliano wanipe...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta connection ya wateja wa bata bukini, bata mzinga, kuku na kanga wa aina yoyote kwa jumla mwenye kujua soko au mahotelin anipe direction tufanye biashara pacent yake itakuwepo Wana jamii...
2 Reactions
4 Replies
732 Views
S 300 smartwatch 💶90000 tsh ⌚️Mikanda 7 ⌚️Earpods ⌚️Protector ⌚️Unaweza kupiga n kupokea simu ⌚️Unaconnect kwa bluetooth ⌚️Inakuja complete n manual n charger 🏃🏽‍♀️Inafaa kwa mazoezi 📱unapokea...
0 Reactions
10 Replies
661 Views
Habari ya wakati huu ndugu zangu, je wewe ni mhitaji wa gari ya kutumia, au una gari na unauza ila hujui uipeleke wapi ili iweze kuuzwa kwa wakati? Basi usihofu Kampuni ya Joex Motors (T) Limited...
1 Reactions
7 Replies
507 Views
Ukiachana na kukupa huduma za Engine Services, Diagnostics na Repairs za matatizo mbalimbali ya magari hasa yanayowasha warning lights. Tunayo pia huduma ya kukuagizia spare parts kwa bei ambayo...
9 Reactions
85 Replies
6K Views
Viatu vya aina zote karibu uchague unachokipenda then ntakufikishia popote ulipo ndani ya Dar es salaam kwa garama zangu mwenyewe. Kwa walio Dar es salaam nakuletea free na mikoani unatumiwa kwa...
10 Reactions
10K Replies
349K Views
HELP ni jiko gani la gesi lililo zuri zaidi ? imara na linalotumia gesi kidogo? Thanks.
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Kwa anayehitaji Midoli ya Kuuzia Mawigi tuwasiliane. Ipo zaidi ya 20. Nauza sababu nimebadilisha biashara. Nipo Goba Dar-es-salaam. 0713794962 bei ni 9000tsh kila mmoja
1 Reactions
0 Replies
517 Views
Habari zenu wandugu naulizia wapi naweza kupata Midori ya kuvalishia mawigi na kofia mbali mbali za kike, hapa dar es salaam.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba mwenye uzoefu na aina pamoja na bei za machine za kusaga na kukoboa mahindi anisaidie.natanguliza shukrani
0 Reactions
34 Replies
58K Views
Je, unahitaji kampuni bora sana ya kusimamia tukio lako? Inaweza kuwa harusi, mahafari, mikutano, washa na tukio lolote linalohitaji usimamizi wa kina? Basi usiwe na mashaka, kampuni ya Joex...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
2360cc Automatic Petrol 116,000 Kms Haijawahi kupigwa rangi Haijawahi kupata ajali Documents [emoji736] . Masaki . 0717 650800
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nahitaji tent classic, na fundi mzuri wa kupamba tent, kutengeneza keki ya harusi, na awe anapatikaba Mbeya mjini au wilaya za karibu na Tukuyu. Tukio ni mwezi wa tano, kwa yeyote mwenye...
0 Reactions
2 Replies
474 Views
Back
Top Bottom