Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba kunichagulia sofa nzuri nataka kununua,na kama una lako zuri zaidi,naomba utume picha kama nitalipenda nitapeleka order kwa fundi. Kingine naomba kuuliza kama miguu ya sofa hizi inadumu...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Tunakodisha Playstation 4 Games zilizopo Fifa 24 GTA V Call of duty modern warfare Need for speed heat Mortal kombat Hogwarts Legacy bei ni kama ifuatavyo Saa tatu asubuhi hadi saa tatu usiku...
1 Reactions
1 Replies
585 Views
Nimenunua pixel 5 kwa ajili wife kasema kadogo anataka simu ya kujaa mkononi, naiuza bei hiyo ina wiki tu. RAM 8GB, 128GB STORAGE. HAINA SHIDA YOYOTE CHAJI INAKAA ASUBUHI MPAKA JION DATA IKIWA...
1 Reactions
7 Replies
808 Views
Mambo yasiwe mengi, Nahitaji supplier mwenye mfuko ya kilo 25 na kilo 50 kwa bei ya jumla alete quotation yake na contact au physical address tufanye biashara. Karibuni.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Usikubali Kupitwa Na Mvua Za Msimu Bila Kupanda Miti Shambani Kwako. Msimu wa Mvua ni mzuri kwa upandaji wa miti ya matunda pamoja na Ile ya mbao kwani hupunguza gharama za umwagiliaji na mahitaji...
4 Reactions
36 Replies
9K Views
Habarini za majukumu wakuu naombeni mniambie anayejua duka linalouza uniform kama zinavyoonekana pichani hapo
1 Reactions
10 Replies
730 Views
🔥🔥🚘🚘🚘 ON SALE (EEP) - SUBARU IMPREZA Price 14.5ML 0768160670 SUBARU IMPREZA ¥ KALI SANA Color 🖤 BLACK LOW MILEAGES Engine 1490 Low mileage New tyre Clean sana DAR ES SALAAM 0768160670...
1 Reactions
0 Replies
490 Views
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani. Kina ukubwa wa Square meter 1080 Bei million 13 kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
0 Replies
489 Views
BRAND: GOOGLE PIXEL 6A Technology GSM / HSPA / LTE / 5G LAUNCH Announced 2022, May 11 Status Available. Released 2022, July 21 BODY Dimensions 152.2 x 71.8 x 8.9 mm (5.99 x 2.83 x 0.35 in)...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja Mbweni. Bajeti yangu Mil.70. Ukubwa at least 900sqm SITAKI MADALALI. Kwa mmiliki au anaemfahamu mmiliki anitumie picha na location kwenye WHATSAPP 0788 893364. Just Whatsapp...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi water pump generators,,,brand name gani ni imara kwa shughuli za umwagiliaji?..ushauri unahitajika,,ikiwezekana ata bei nifahamishwe..Asanteni kwa wasaa wenu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu. Tafadhari rejea kichwa cha mada. Ninauza pikipiki yangu niliyokua natumia kwenda kazini yenye usajiri namba DEC bei Tsh 1,250,000 iko katika hali nzuri sana haijaguswa engine kabisa...
8 Reactions
9 Replies
996 Views
Harrier new model,Haina dosari Wala kipengele chochote Reg no DL,full Ac ,ni mpya nzuri ndani na nje safi. Ipo Dar Bei ni 18.5m tu Piga/ Whatsapp 0698235368
0 Reactions
3 Replies
624 Views
Habari wadau wangu natafuta chumba cha kupanga kiwe maeneo ya morroco, victoria au makumbusho au kigamboni kiwe kimoja, chenye hali nzuri sio bora chumba nataka kupanga kwa miezi 6 tu na si zaidi...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
OFFER PRICE:1,900,000 POOL TABLE SET COMPLETE GOOD QUALITY ORIGINAL PITCH TRIANGLE TOKEN BALLS BILLIADS CUES POOL CUES STICK
0 Reactions
3 Replies
630 Views
TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA. (HEAT INFRARED LIGHT BULB) >>SIFA YA TAA ZETU<<<< ●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri. ●Taa moja...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Wadau nina mzigo wa makaratasi yaliyotumika ikiwa ni pamoja na magazeti na majarida na vitabu kukuu. Kwa mwenye kununua au anaefahamu wapi naweza kuyauza msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
542 Views
Ninauza furniture za ofisini, Meza 3 yaani Executive desk 1, Conference table 1 (ya watu 4), na reception table 1, Viti 7, vyote hivi bado viko katika hali nzuri. Pia kuna Curtain blinds mbili...
0 Reactions
2 Replies
564 Views
Nauza Carton boxes kwa ajili ya kuweka bidhaa mbalimbali, ziko pcs zaidi ya 400 nicheki kwa namba 0744117116
1 Reactions
0 Replies
267 Views
Habari ndugu zangu. Nadhani kila mmoja wetu yupo hai kwa anae soma hapa. Kama kawaida mr .waziri nazidi kuwarahisishia wateja wangu kupata mzigo wa dagaa kutoka ziwa victoria kwa wale waliopo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom