Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Barbershop inauzwa Habarini ndugu wanaJamvi! Ningependa niende moja kwa moja kwenye mada, barbershop iliyopo Goba inauzwa ikiwa na vitu vyake vyote ambavyo vinatumika barbershop ikiwemo viti...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Utangulizi. Thomsett ameandika vitabu vingi kuhusu biashara na uwekezaji. Lakini kitabu kiitwacho Getting Started In Rental Income cha mwaka 2005 ndicho kitabu ninachokuletea uchambuzi wake leo...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Safe box zinauzwa mpya kilo 120 kwa matumizi ya ofisi, mawakala, majumbani, n.k Wasiliana nasi 0712347749 Unaweza kufungulia kwa password za namba utakazo weza kuweka unazo zihitaji. Key zipo 4...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Wewe ni Mkazi wa Dar es Salaam na unahitaji spea kwaajili ya gari yako? Huitaji kuhangaika mambo yawe mengi tucheki moja kwa moja dukani. MZIGO NI USED DUBAI Tunauza Spea za gari ndogo aina...
3 Reactions
4 Replies
559 Views
Habari wa ndugu tunatoa huduma ya fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwenye maeneo ya Mahotel, majumbani, maghala, lodge nk hasa wadudu jamii ya mbu, Mende, nzi, sisimizi, kunguni, mchwa nk...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama Una frame ndogo mjini sehemu iliyochangamka nicheki pm
2 Reactions
6 Replies
534 Views
Bajaji inauzwa bei sawa na bure ni kampuni ya Sinoray. Capacity cc200 Seats 8 Usajiri ni DSG full document Ni kununua na kuingia barabarani haina changamoto yoyote Bei ni Milioni 3,200,000...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara, isiwe mbali na barabara, mwenye nayo please naomba msaada
1 Reactions
2 Replies
694 Views
Ada za kuomba kibali cha ujenzi katika Manispaa ya Moshi. (i) Maombi mapya ya kibali cha ujenzi cha;- ✓ Makazi ni Tshs.400 kwa mita mraba moja. ✓ Makazi na biashara ni Tshs.500 kwa m². ✓...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Kwema Wakuu, Mambo yasiwe mengi, changamoto za kutafuta nyumba na kukutana na madalali tunazijua, hivyo kama wewe ni mpangaji unatafuta nyumba au mwenye nyumba unatafuta mpangaji, njoo hapa sema...
9 Reactions
68 Replies
5K Views
Fursa ya ajira Hata kama huna mtaji leta mteja kwa bei yako, cha juu ni cha kwako iPhone Original Chargers 25W Adapter USB C lighting cable Zipo pis 100 tu 16,000/= Rejareja 14,000/= Jumla...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Nahitaji eneo la gereji(fenced) au nyumba stand alone. Location ni maeneo ya kuanzia ubungo kuja mjini (ubungo yenyewe, sinza mwenge, mikocheni, magomeni, mabibo, external, n.k.) 0688 758 625
0 Reactions
2 Replies
430 Views
Bajaj used inahitajika. Budget ni million 4.5 hadi 5 Niko Sumbawanga Rukwa
1 Reactions
3 Replies
496 Views
Habari wakuu? Hope wazima kabisa! Nina uhitaji wa kontena la futi 20, lenye hali nzuri, bajeti yangu ni tsh 500.000/= Laki tano! Ahssnteni!
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Motherboard repair Chip Level Motherboard Repairing.
0 Reactions
3 Replies
829 Views
Tushaingia mwezi wa wapendanao. Kama ulikua unajiuliza zawadi ya kuwapatia wapendwa wako, suluhisho liko hapa. Jipatie mchoro halisi kwa ajili ya mpendwa wako mwezi huu wa valentine. Napatikana...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Eneo lenye ukubwa wa Sqm 3626 Na lina Nyumba 7 [ Moja ni main house yenye vyumba vitatu kimoja master, sebure kubwa, dining kubwa, public toilet na jiko] Na nyumba zengine 6 kila moja imegawanyika...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu me ni fundi bomba uliza swali lolote linalo husu plumbing nitakujibu kuanzia mifumo ya maji moto baridi,maji taka, Ujenzi wa chemba,Bei ya material ya plumbing n.k
0 Reactions
3 Replies
871 Views
Wadau wa Arusha mambo niaj vip nawez kupata Getto la 20k arusha. Kama lipo ni maeneo gani na vipi kuhusu swal la ulinzi
0 Reactions
5 Replies
632 Views
Habari zenu members Naomba kujua soko la madini aina ya Quartz lilipo kwa nchi yetu hii ya Tanzania na pia bei yake kwa kilo.
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Back
Top Bottom