Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,100
Habar za siku nyingi wakuu.
Kama title ya uzi ilivyo.
Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
Eneo pendekezwa ni kama:
Temeke
Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe)
Kurasini/uhasibu
Tazara.
Bajeti ni 100k - 150k kwa mwezi.
Natanguliza shukrani zangu za dhat kabisaa.
Ukubwa na usalama ni vitu vya kuzingatia.
Ahsanten wakuu.
Nitashukuru endapo nitasaidika
Kama title ya uzi ilivyo.
Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
Eneo pendekezwa ni kama:
Temeke
Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe)
Kurasini/uhasibu
Tazara.
Bajeti ni 100k - 150k kwa mwezi.
Natanguliza shukrani zangu za dhat kabisaa.
Ukubwa na usalama ni vitu vya kuzingatia.
Ahsanten wakuu.
Nitashukuru endapo nitasaidika