Nahitaji office space kwa ajili ya kupanga

Rabonn

JF-Expert Member
Nov 7, 2018
5,789
11,100
Habar za siku nyingi wakuu.

Kama title ya uzi ilivyo.
Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi.

Eneo pendekezwa ni kama:
Temeke
Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe)
Kurasini/uhasibu
Tazara.

Bajeti ni 100k - 150k kwa mwezi.

Natanguliza shukrani zangu za dhat kabisaa.

Ukubwa na usalama ni vitu vya kuzingatia.
Ahsanten wakuu.

Nitashukuru endapo nitasaidika
 
Back
Top Bottom