Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Incubator Bei laki 2 au unipe mitetea 25 chotara na kienyeji location Tanga Haina changamoto yoyote 0621264212 Inachukua mayai 180
1 Reactions
0 Replies
344 Views
Dispensary inauzwa 120M, ipo Michese Dodoma, eneo lina ukubwa wa 956 mita za Mraba, majengo mawili, Sehemu yakusubiria wagonjwa na jengo la RCH. Hakuna Dalali
3 Reactions
5 Replies
648 Views
- Hutakiwi kuikosa miwani hii, miwani hii ni PHOTOCHROMIC, inabadilika na kuwa nyeusi kila unapopigwa na mwanga wa jua na kuweza kukukinga na mwanga mkali wa jua. - Itakukinga na mionzi mikali ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba connection ya anayejua wapi naweza pata chupa hizi na zina ujazo gani?
0 Reactions
4 Replies
562 Views
⁣[emoji33]NIGHT VISION DRIVING GLASSES⠀⠀ ⠀⠀ Furahia Kuona Vizuri [emoji736] Itakukinga Na Taa zote Kali Za Full⠀⠀ [emoji736] Itakukinga Na Taa Kali za Barabarani⠀⠀ [emoji736] Itakukinga na Ukungu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii simu nitaiuza hapa kwa bei ya kutupa ya Tshs 200,000 tu. Mikoa yote ya Tanzania tunatuma. Piga 0742786967
0 Reactions
0 Replies
460 Views
NOTE: Hizi ni goggles hazina lenzi na hazina athari yoyote na macho ______________________ * Miwani hii ni maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV. * Kama...
1 Reactions
113 Replies
20K Views
If you're looking for a way to save money on your energy bill while also helping the environment,there's no better option than going solar! Installing solar panels on your home or business can...
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Kama kichwa kinavyosema nauza dume la kisasa ambae ndio ananza kupanda, amepatikana kwa njia ya chupa. Bei: 700,000 Location: Dar es salaam
2 Reactions
6 Replies
570 Views
Natoa huduma ya embroidery, screen printing kwenye tshirts, kofia, uniforms, masweta, vitambaa, mifuko, mashuka, taulo za hotelini, tunaprint jezi. General printing ya mabango, business cards...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Life kama linaanza kuwa sawa kwa upande wangu. Hivyo nahitaji niwe na kagari kamoja hivi ka kwenda nako harusini. Je kwa Dar wapi naweza pata gari kali kwa bei Chee. Budget yangu ni kama...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Baada ya kupitia changamoto za kimaisha na Biashara, sasa tumeinuka tena na tayari tumefungua ofisi zetu maeneo ya Ukonga Banana, mkabala na jengo jipya. Huduma zetu; SHERIA (WANASHERIA NA...
0 Reactions
0 Replies
542 Views
Utangulizi. Kuanza kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo imekuwa ni safari ndefu sana. Kwa wengine, imekuwa ni safari ya miaka mitatu. Kwa wengine, imekuwa safari ya miaka mitano. Na wengine...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari gani wakuu. Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka. Bei yake...
0 Reactions
3 Replies
664 Views
Habari ndugu zangu. Poleni na majukumu. Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana. Meza 2...
1 Reactions
7 Replies
650 Views
Kikikufaa njoo tufanye biashara pia bei kinauzwaje?
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Basi zinauzwa Namba D Injini_Scania F310 Gearbox_scania ya gia 6 Mbele Disc brake Siti_52 Body_Gemilang malaysia Usb charging ports zipo Bei Tzsh 45,000,000/= kwa kila moja Matairi utanunua...
0 Reactions
2 Replies
692 Views
Make: Toyota Model: NOAH Model number: SR50 Body type: Station wagon Year of Manufacturer: 1999 Color: White Engine Capacity: cc 1990 Good Condition Android TV/Audio A/C Location: Dodoma Price...
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Mafunzo huria ya kozi fupi ya electrical pamoja na electronics Nafundisha kozi zifuatazo,kwa wanafunzi wa vyuo na watu binafsi. 1.Introduction to electronics *Basic electronics in general...
4 Reactions
6 Replies
5K Views
Back
Top Bottom