Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza FRIJI SAMSUNG jipya na kubwa 700000/- serious buyer call:0716676947.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IPO SOKONI IMETUMIKA MWEZI MMOJA TU BEI 600,000/- NAKUPA NA KING'AMUZI STARTIMES BURE. Call:0716 676 947.
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Hello, ninauza simu tajwa hapo juu, haina tatizo lolote na ni original phone. Nimetumia muda mrefu(zaidi ya mwaka). Kama utavutiwa kuwa nayo pls sms kwenda 0755 78 34 20. Picha nitatuma kwa...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
samsung R 70 ram 2gb hdd 250gb screen inch 15.4 bettery life 3 hours.. bei laki nne Maongez yapo.. ipo katika hali nzuri japo ni used..ukihitaj nichek 0672047940 waxup nichek nkutumie picha
0 Reactions
2 Replies
728 Views
Laptop hp inauzwa ipo katika hali nzuri na inakaa na charge hdd 160 gb,ram 2 gb,duo core,web cam ipo bei shs 270,000 kama upo interested ni chek 0716385824
0 Reactions
3 Replies
1K Views
bei tsh 200,000/= aina: dell, d620 hdd 80gb ram 2gb core 2 duo display 14.1 inches condition: good condition item available at ubungo, dsm call 0714345958 or 0752858693
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau kwa mwenye kiwanja maeneo ya kilomo bagamoyo nahitaji.watsap & SMS only 0763479113 sihitaji DALALI!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarii wakuu...nipo dar es salaam,nahitaji samsung note 3 used kutoka kwa mtu ila isiwe na matatizo ya kiufundi na iwe GENUINE...sihitaji CLONES . #check wz me thru PM or 0714609907 tufanye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Washikaji, Mie na jamaangu tumeanzisha Pub hapa Arusha Tumeiita Le Tshentemba Pub sasa tuna siku 10 toka tuanze. Hii ipo Nairobi Rd karibu na Police post na ofisi ya mtendaji kata mkabala na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau pikipiki tajwa hapo juu inauzwa Ni piki nzuri size ya kati inayofaa sana kwa matumizi binafsi. Bado iko order sana ingawa imetumika kwa matumiz binafsi.Bei ni milioni 2 (usishangae dukani...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau pikipiki tajwa hapo juu inauzwa Ni piki nzuri size ya kati inayofaa sana kwa matumizi binafsi. Bado iko order sana ingawa imetumika kwa matumiz binafsi.Bei ni milioni 2 (usishangae dukani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Learn at your place- History,Kiswahili,English,Civics,Geography&Biology Learning at Your Place... Are you studying secondary education? Learn what you want, when you want, from where you...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Happy valentine wakuu, Ninauza Tablet Pc mbili mpya kabisa na orijino. Moja ina screen inch 7 kwa tsh 350,000 na nyingine ina screen nchi 10 kwa tsh 400,000. Tablet zote...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa IPO kongowe kwa Pius karibu na st Pius high school,nyumba ya mbele ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja ni self,sebule,jiko na stoo!pia ina nyumba ndogo ya uani ina vyumba vitatu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
moja ya simu hzo inahitajika mpya au used ambayo ipo kwenye good condition nicheki 0688206680 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Natafuta kapeti la nchi 3.5 mpaka 4,bajeti isizid elfu 80 zuri la kisasa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau….. nahitaji ilo kava ntapata wapi maeneo ya dodoma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jumapili wakuu?Nina uza king'amuzi changu cha star time kwa bei tajwa hapo.Kipo vema kabisa ndo natumia kila siku!.Sababu ya kuuza nataka niongezee fedha ninunue kile cha TIN kuna local...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari. Nahitaji toyota noah mbili zenye hali nzuri zisizosumbua na ambazo hazijawahi kugongwa wala kubadilishwa engine. Bajeti yangu 7 milion kila moja.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
power bank aina ya parkman zikiwa na ukubwa wa mah(milli ampere hour) 10000 zikiwa na uwezo wa kuchaji simu za mkononi zinapatikana,na zikiwa katika rangi tofauti tofauti kama nyeupe,blue,pink na...
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…