Pritty wa joseph
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,379
- 2,051
Daah hawa wachina hawatuachi tumue: mara kanda then cd mara flash mara memory card mara Power Bank . Tena flash za cm!!
Muda c mrefu watafyatua watoto.
zina sehemu ya usb ya kawaida au ndo simu peke yake?