Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kina hati, kipo pembeni ya barabara ya lami , kinafaa kwa ujenzi wa kituo cha mafuta , supermarket nk . kipo gezaulole ni mwendo wa 14km toka feri ya kigamboni bei ni 250m . kwa mahitaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta chumba kibaha maili moja,chumba kiwe kisafi na jiko liwepo maji yawepo kwenye hiyo nyumba.Nalipa elfu 60000 kwa mwezi nitalipa miezi minne.Mwenye nacho anitafute 0762 629138.
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Kiwanja kizuri cha makazi kinauzwa: Mahali: Mbezi makabe ukubwa:35m kwa 25 bei:kati ya 17.5m na 19m contact:0752677258 au-0714676795
0 Reactions
4 Replies
883 Views
Wadau habari za mchana? Msaada please kwa anayejua sehemu ninayoweza kupata mbegu ya mpunga aina ya SUPER hapa DSM au mikoa ya jirani. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naitwa SULEMAN nipo MAGU najishughulisha na kazi za UMEME kwa yule atakaye nihitaji apige simu no:0765400737.nafanya kazi kwa siku sits isipokuwa siku ya jumamosi . Asante
0 Reactions
0 Replies
795 Views
This is a fast developing area for residential and investments purposes. Its along the road to Merelani after leaving Old Moshi road and across railway at the first location of wooden electricity...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf nauza mayai ya kuku wa chotara ni matamu na mazuri kwa lishe bei:yai moja ni sh 300 na kwa tray moja ni sh 8000 tu wahi fursa kuku: vifaranga vya wiki tsh 1400@ vifaranga vya mwezi 2000@...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
hello wakuu naitaji kujua duka ambalo linauza simu used.. za aina tajwa hapo juu naitaji simu za dell na hp
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaji shamba la Heka 10. Liwe barabarani, sio lazima Mkuranga hata mbele zaidi, ila isizidi 100km kutoka Dar. Bei isizidi 100,000/=/Heka. Contact 0779420000
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu naitaji ipad air I we inachukua line kama unayo nichek kwa no. 0769 038 065
0 Reactions
33 Replies
3K Views
eneo kubwa La wazi linauzwa pia ndani yake Lina nyumba ya vyumba vi4 na fremu za biashara 4. eneo hill liko karibu sana na barabara kuu na kuna Barabara ya Gari inafika mpaka kwenye eneo hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanajamvi mambo zenu, natafuta kiwanja cha makazi au hata shamba kiwe maeneo ya ifunda au kibaoni hadi kufika kule secondary hata kwa juu juu kule...mlioko iringa maeneo haya kama unamjua mtu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
pata online stock control system kwa shilingi za kitanzania 600,000 tu imeshalipiwa kuwa hosted online kwa mwaka mzima....
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau kama kuna mtu yeyote ambaye ana ofisi maeneo ya Mbagala rangi tatu au Kariakoo Aggrey. Awe ni wa hardware namaanisha mimi nahitaji kuwa kitengo cha software (flashing, unlock). Nipo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wadau.. single masterbedroom kinapangishwa ubungo external near mabibo hostel. chumba hicho kipo nyuma ya epza. kipo ndani ya fence na kuna gate pia kuna umeme na maji dawasco...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Used cars 1.ist number b mil 7.7 2.ist number c mil 8.5 3.escudo number a mil 5.5 4.vits number b mil 5.5 5. Swift Call 0713774746
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Model: Toyota Raum Man year: 2004 cc: 1490 odometer: 82,000 Mimi sio dalali gari ni ya ndugu yangu wa karibu sana na iko katika hali nzuri sana.. ukihitaji mchek 0713082305 pia maelewano yapo
0 Reactions
10 Replies
4K Views
plot inauzwa. bei : milioni 150 eneo : karibu na kituo cha afrikana. mwenye kuhitaji ani pm.
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Habari wadau..... Nauza shamba hekari Moja na nusu lina miti ya paini iliyo na miaka mitatu bei ni Tsh=1000,000 tu.... Kwa mawasiliano 0768181757 au utaliijackson@yahoo.com...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom