Shamba linauzwa lina miti 1000 ya miaka mitatu

Shamba linauzwa lina miti 1000 ya miaka mitatu

JACKBIZZO

Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
83
Reaction score
12
Habari wadau.....
Nauza shamba hekari Moja na nusu lina miti ya paini iliyo na miaka mitatu bei ni Tsh=1000,000 tu....
Kwa mawasiliano
0768181757 au utaliijackson@yahoo.com
Karib..... shamba liko iringa.
 
Hivi mleta mada hilo shamba kweli ni lako au wewe ni tapeli?

Ulikuwa na sababu zipi kuanzisha mada yako kwa pupa namna hii!?

Sentensi zako hazieleweki na ni dalili za utapeli hizi. Mods tafadhalini ondoeni hili tangazo haraka iwezekanavyo.

Invisible
 
Last edited by a moderator:
umeandika kihehe nini, hilo shamba lina hekari ngapi na bei yako ni kiasi gani?

Poleni kwa makosa ya uandishi. Ni hekari Moja na nusu....miti iko 1000
Shamba ni langu karibu kwa anae hitaji......
 
Hivi mleta mada hilo shamba kweli ni lako au wewe ni tapeli?

Ulikuwa na sababu zipi kuanzisha mada yako kwa pupa namna hii!?

Sentensi zako hazieleweki na ni dalili za utapeli hizi. Mods tafadhalini ondoeni hili tangazo haraka iwezekanavyo.

Invisible

Ni makosa ya uandishi, shamba hekari moja na nusu bei ni million moja. Karib Kama unahitaji hakuna utapeli.
 
Last edited by a moderator:
Ni makosa ya uandishi, shamba hekari moja na nusu bei ni million moja. Karib Kama unahitaji hakuna utapeli.

Mkuu ongeza nyama kwenye tangazo lako, unaposema Iringa una maana Iringa mjini au kule ktk wilaya zake? weka umbali toka mjini, na mambo ya usafiri nk nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom