usinipe hela nipe mzigo wa viatu,fremu ninayo,nipige kazi nakurushia hela tena unani2mia mwingine tena nauza,utanipa na bei yako mi nitajua jinsi ya kuuza ili na mie nipate faida,nicheck whatsapp...
Napamba kwa bei poa kabisa kuanzia laki 5, name Viti vya maharusi na wage I waalikwa unapata Burr kabisa hadi Viti 200 vya waalikwa vya kisasa. Mawasiliano 0655441943
Anglia sample za mapambo...
Habari zenu wadau,
Nina Tsh. 320,000/= natafuta Smartphone nzuri iwe used au mpya lakini iwe kwenye hali nzuri bado.
Brand: Huawei, Sony Experia, Samsung Galaxy..
Kipo wilaya ya Ilala Dar es salaam. ni 1km toka barabara kuu. kipo Pugu eneo linaitwa mbuyuni, hati ipo na bei kinauzwa 16m . ni tambalale kimenyooka. kwa mahitaji ya kiwanja hiki au vingine vingi...
wana jf,nimeamua kujiajiri baada ya msoto kwa muda mrefu,ajira niliyoijoin ni kufanya biashara ya kokoto nyeusi,-(ngumu),bei cubic meTer 1 ni 90000 na 7tone ni 350000,niko dar,ofice iko machinga...
nina maharage ya uyole 96 (hybrid), ni yale
maharage mekundu. pia tuna mahindi zaidi ya
tani 5000. mwenyewe soko la haya mazao
naomba anijuze. shukrani wakuu