Shamba linauzwa lipo chanika mwanzo mgumu dsm lina ukubwa wa ekari nne pia linaweza kutumika kwa makazi bei ni tsh 13ooooo kwa kila eka pungufu ya hapo utaongea kwa mawasiliano 0714621548...
Habari wanajamvi, nauza BlackBerry z10 yangu.
features
2g ram
16 gb internal storage
8mp camera.
unique keyboard (it can learn fast when you type )
black in mint condition.
can run both bb world...
Uuzwaji wa shamba eneo la ufukweni (beach area) NUNGE BAGAMOYO karibu na PALM TREE HOTEL Eneo lenye ukubwa wa hekari 7.85..
Bei ni 1.7B
Na maongezo yapo..
+255 713799522
Habari zenu wanajukwaa...
Nami ni mjasiriamali mwenzenu ninayefanya biashara mbalimbali hapa nchini kama vile agribusinesses,pia networking business pamoja na agricultural ila mnamo MWAKA jana...
GARI/BODI HILI LA NISSAN PATROL OLD MODEL..SHORT CHASIS;
BODI LA NISSAN PATROL SHORT CHASIS..OLD MODEL- BADO ZIMA KABISA
IMEWEKWA INJINI YA 3Y (YA KWENYE HIACE na GEARBOX YAKE...HAIJATUMIKA...
Kuna eneo la hekari nne lipo Mchikichini jirani na mwembe mdogo njia ya kwenda Kimbiji.
Ni kilometer kama 17 kutokea kigamboni na kilometer kama 1.5 kutoka katika magorofa yanayojengwa na NSSF...
Wakuu godoro jipya kabisa naliuza nililinunua miezi michache iliopita
Halijawahi kutumika lipo kwenye nailo yake
Ni la futi 6 kwa 4
Bei 60000/=(chapa QFL Dodoma)
Mi ni mtumishi niko mikoani nahitaji gar aina RAV4. Ninamaanisha jamani mwanaJF. Aliyenayo au mwenye taarifa anijuze tufanye biashara. Make isiwe chini ya 2005.
Kwa mwenye uhitaji wa haraka wa line za tigopesa na m-pesa kwa bei nafuu, anitafute kwa namba
0756967894.
Ukinunua zote ni laki 6 ila ukihitaji line ya mpesa ni laki 2 na ya tigopesa laki 5.
Nauza simu tajwa hapo juu...iko ktk hali nzur kabisa...naiuz kwa 650000 ila bei inashuka pia...napatikana dsm kwa namba 0764503076.
ATTACH]248918[/ATTACH]
Ndugu zangu wana JF,
lile gari escudo, milango mitatu bado linauzwa na mwaka huu bei imezidi kushuka (kwani itabidi ulipie road permit ya miaka miwili (post). Bei sasa ni Tshs milioni 2 na nusu...
Wasalaam wakuu,
Nahitaji tairi ya gari size 14 na sports rim zake.
In exchange nimpe muuzaji zangu nne za size 13 zikiwa na wheel caps niongeze na pesa kidogo.