Asasi ya Pretty Development for Poverty Reduction (PDPR) inauza uyoga aina ya Mamama (Oyster) Kwa kiasi chochote kuanzia KG: 2 hadi tani 2 kwa mwezi upo uliokaushwa na kufungashwa na upo mbichi...
Nyumba mbili zipo kwenye kiwanja kimoja Kigamboni maeneo ya Tuamoyo ni kama km 1 kutoka ferry zinauzwa, nyumba zote ni nzuri na zipo eneo zuri, kiwanja kimepimwa na hati ipo, ni pm kwa mawasiliano...
Wakuu, heshima zenu,
Kwa mara ya kwanza nakuja kwenu kwa hii bidhaa adimu. Nauza kiwanja maeneo ya Chanika. Kina msingi kabisa wa vyumba vitatu, sitting room, dinning, master, kitchen, store na...
Ukubwa
✳ 20M×40M (800sqrM)-14Milioni
✳ 20M×20M (400sqrM)-7milioni
⏩ Umeme upo karibu, Barabara ya Gari nzuri hadi kwenye kiwanja.
📞📱0752953860//0683499369
Kama kuna mtu ana stationary yake au anaijua stationary wanayoprint kwa bei nafuu (sh 100 per page) naomba anielekeze kwan nna shida ya kuprint kazi yangu yenye page nyingi ila nna hela kdogo ndo...
Shamba lenye nyumba ndani linauzwa,shamba unaloweza kukata viwanja pia linauzwa ukubwa wake ni heka 1,pia kuna viwanja 20/20_@2.5mil, vyote vipo Chanika.
Mawasiliano piga...
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Kwa matumizi ya nyumbani, kuuza gengeni,sokoni na supermarket. Wana ladha ya kuvutia na kwenye vifungashio vya kuvutia. Karibuni sana.
Mawasiliano 0659251217.
Wanapatikana kwa jumla na rejareja. Bei nafuu sana na kipimo kutegemea na uchaguzi wako. Matumizi ya nyumbani, kuuza gengeni, sokoni na supermarket.
Karibuni sana
Wadau nauza hiyo Pkpk kwa laki 7 kwa hasira maana kaniuzi Dereva wangu sina hamu tena na bodaboda nimeinyang'anya nipo mayo tu sijahangaika kwa lolote naona bora niiuze tu umiza kichwa napatikana...
Je umewahi kufikiria kuitangaza biashara yako kufikia wateja wengi lakini gharama zikawa kubwa?
Je umewahi kujaribu kuitangaa lakini bado ikashindikana kutokana na kiasi ulichotoa kutoendana na...
Dell latitude E6430, hdd 500gb, ram 8gb, core i7, speed 2.9ghz, webcam, Nvdia graphcs card, bei laki 9,computer mpya kabisa..ipo dar..ni mpya kwa maana ya upya, haijatumika kokote..mnunuaji ani pm.
》location:gezaulole kigamboni
》ukubwa:sqr m 488
》kiwanja kimepimwa na serikali na kina offer
》bei:9mil(maelewano yapo)
》contact:0657170516
>>Kipo kigamboni Gezaulole
>>Ni cha serikali kimepimwa na kina offer
>>Kina ukubwa wa sqr meter 488
>>Bei 9m(maelewano yapo)
For serious buyer call 0657170516....