UHURU COMPUTERS
Established June 2007 in Northampton UK. We Import Directly from U.S.A, UK and Japan.
Dell Registered Resellers from July 2010 in Tanzania. All new Laptops Have 1 year...
Mambo vp wadau. Kwa yeyote mwenye mchongo wa fb page inayouzwa yenye kuanzia LIKES Elfu 90 na kuendelea tuwasiliane. Naihitaji sana. 0682202996,0784531312
Fremu ina pangishwa Sinza Lion kituoni mpaji aliopo ana uza na meter yake,ac na vitu vingine pia kodi inaisha mwezi wa saba.Kodi ni laki na thelathini kwa mwezi.
Nicheki hapa 0714547830
JAMANI WANANCHI NATAFUTA NYUMBA YA KUPANGA MAENEO YA KARIBU NA MWENGE AU GARI MOJA KUFIKA MWENGE NAOMBA MSAADA NIKIPATA NAMBA kYA MWENYE NYUMBA NITAFURAI
NYUMBA IWE NZURI
Iwe self contained na...
suluhisho la kupunguza uzito limepatikana jipatie sasa teabags na vdonge vilivyotengenezwa na mitishamba.
pia kwa wale wenye matatzo yakupungua nguvu za kiume suluhisho lipo
Habari wakuu.kuna nyumba inauzwa arusha ipo stand karibu na joshmal hotel.ina vyumba 8 kwa nyuma na ina frame 7 za maduka.bei ni 1bil 200mil.ni PM.kama upo interested Au unamjua mtu anaye hitaji...
Kichwa cha habari kimeshajitosheleza na ni kwamba kama wewe unatarajia kuwa mgombea urais au ubunge kwa kupitia chama chochote kile ktk chaguzi zijazo za october 2015 na hujui utaanzia wapi basi...
habari watu wote humu napenda kuomba kama kuna mtu ana uza ama kujua mtu anaye uza gari aina ya spacia new modeli ambayo isha tumika/yamkononi anijulishe kupitia no 0767353440 nipo moshiii
Nyumba yenye vyumba 3, sebule kubwa na sehemu ya kulia chakula. Parking kubwa. pia ina fensi ya ukuta. Nyumba ipo Basihaya, Boko, Dar.
Tuwasiliane kupitia 0654715457 kwa picha na maelekezo zaidi.
KGE & MGE inawakaribisha wajasiliamali wote wafugao /wanao tarajia kufuga kuku ,kuwa tuna unda na kuuza mashine za kuangulia vifaranga vya kuku kwa gharama nafuu sana.mashine zetu huweza kumfikia...
Nauza mikanda ya kupunguza tumbo.ndan ya wiki moja tumbo linaisha kama ukiwa serious.MKANDA MWEUS NAUZA ELFU 40 NA MWEUPE ELFU 30.NALETA ULIPO.NAPATIKANA KWA NAMBA 0712620078
Kiwanja kinauzwa Iringa Mjini.
>Kipo Mawelewele Iringa mjini.
>Kina ukubwa Wa 26.6m * 42m = sqm 1117.2
>Huduma za jamii zipo jirani (maji na umeme).
>Hakijapimwa ila barabara za mitaa...