Mwanza: Nitapata wapi wauza magari?

Mwanza: Nitapata wapi wauza magari?

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,921
Reaction score
2,161
kuna jamaa yangu ananisumbua anataka kununua gari ya kulipia kidogokidogo kwa hapa mwanza ni sehemu gani wanatoa huduma kama hii nimechoka kumdanganya
 
Usiendelee kumdanganya. Chakufanya tembelea show rooms za magari zilizopo hapo Rocky City na uongee nao, maana lazima kuwe na kuandikishana kwa kina ili mtu asije sepa na mzigo. Naamini unaweza kupata baada ya hao kujiridhisha na uhakika wa kulipwa!
 
Karibuni mwanza siku hakuna sangara tena ila kuna mawe tu ndio yamebaki..
 
Back
Top Bottom