Mimi ni mjasiriamali wa kuuza mayai rejareja maeneo ya Mwenge sokoni. Ninanunua kwa bei ya jumla kuanzia tray 60 ila kwa bei ya 5000 kama upo tayari kuniuzia.
Naomba tuwasiliane
Siku zote jambo la msingi ni kupiga hatua,kubuni vitu tofauti na jana,Safari hii kutokana na maboresho ya msingi na kuzingatia mahitaji ya watu wengi.....tumeamua kuhamishia lile tukio kubwa la...
Siku zote jambo la msingi ni kupiga hatua,kubuni vitu tofauti na jana,Safari hii kutokana na maboresho ya msingi na kuzingatia mahitaji ya watu wengi.....tumeamua kuhamishia lile tukio kubwa la...
Nina mzigo wa kwenda Congo na Burundi, nahitaji malori 100 bei yangu ni nzuri
Mzigo ni loose cargo
rate per tone
Guney Congo - dola 225
Bukavu - dola 170
Goma - dola 170
Bunjumbura - dola 125...
naitaji laptop budget kuanzia 230000
ram 2gb
color black
battery lige at least one hour
hdd at least 160
cd rom re writtable
size at least 30cm
wireless yes
ethernet cable yes
usb port...
Wakuu salam!
Leo nimeona niwashirikishe habari hii hasa wadau wa manunuzi online. Kuna jamaa ambao ni member wa humu JF (mmoja ni Konzogwe nahisi), wamefungua kampuni inayosaidia watu wanaotaka...
ipo jirani na njia panda ya kwendatccc. Inatazama barabara ya kubwa ya changombe
ni nzuri ina floor tiles, na mlangowa aluminium
mkataba ni wa miezi 6, na kodi ni130,000/= kwa mwezi
wasiliana na...
Dawa za kupunguza uzito zina patikana kwa bei nafuu, pia kwa wanaosumbuliwa na kupungukiwa nguvu za kiume dawa ipo. kuongeza CD4 pia na kuongeza na kuimprove memory hususani kwa watato na wazee...
BEI
kiwanja cha 1 miln 12
kiwanja cha 2 miln 8
kiwanja cha 3 miln 4.5
UMEME
Umeme upo nyumba tu ya jirani
BARABARA
Barabara ya gari inafika hadi kwenye kiwanja
kutoka Mbezi Mwisho.
ni km 3...
Habari zenu wadau JF?
Kwa wale wakazi wa Arusha mjini na viunga vyake,napenda kuwatangazia kuwa na recommend fundi wa UMEME WA MAJUMBANI anaitwa VICTOR.
Aanafanya kazi zake kwa ujuzi mkubwa na...
Wadau,
Habari za leo?
Napenda kuutangazia umma kuwa,tuna mafundi wazuri sana kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na majengo mengine kama hoteli nk.
Pia tuna ramani za nyumba mbalimbali ambazo unaweza...
habari wadau....nina shida na madalali wenye mawasiliano na wateja wa kununua nyumba,magari na viwanja
nina vitu vingi ninavyohitaji kuuza ila nimeshindwa kuviuza mwenyewe
so kama kuna dalali...
Karibuni sana katika Huduma za mapambo,Viti na meza za kisasa,Mc, Huduma za Chakula,magari kwenye sherehe mbalimbali, Harusi,sendoff,kipaimara, dinner party, makanisani na sherehe nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.