Fundi Umeme wa majumbani anapatikana

Fundi Umeme wa majumbani anapatikana

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,523
Reaction score
14,002
Habari zenu wadau JF?

Kwa wale wakazi wa Arusha mjini na viunga vyake,napenda kuwatangazia kuwa na recommend fundi wa UMEME WA MAJUMBANI anaitwa VICTOR.

Aanafanya kazi zake kwa ujuzi mkubwa na umakini pia ana bei nafuu.Anafanya wiring,kuondoa matatizo yote ya UMEME.

Mawasiliano yake ni 0755807129

Asanteni na tumpe kazi kijana wetu.
 
Habari zenu wadau JF?

Kwa wale wakazi wa Arusha mjini na viunga vyake,napenda kuwatangazia kuwa na recommend fundi wa UMEME WA MAJUMBANI anaitwa VICTOR.

Aanafanya kazi zake kwa ujuzi mkubwa na umakini pia ana bei nafuu.Anafanya wiring,kuondoa matatizo yote ya UMEME.

Mawasiliano yake ni 0755807129

Asanteni na tumpe kazi kijana wetu.

Yuko wapi hapa Arusha hapatikani kwenye sim yake ya mkononi
 
Back
Top Bottom