Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,523
- 14,002
Wadau,
Habari za leo?
Napenda kuutangazia umma kuwa,tuna mafundi wazuri sana kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na majengo mengine kama hoteli nk.
Pia tuna ramani za nyumba mbalimbali ambazo unaweza kuchagua yeyote uipendayo,pia unaweza kuleta ramani yako na kujengewa kadiri upendavyo.
Pia tunafanya marekebisho katika nyumba kama kubadilisha muundo wa nyumba,kutengeneza uzio nk.
Mafundi wetu ni wazoefu na waaminifu,wanapatikana Tanga mjini.
Gharama zetu ni nafuu na kazi hufanyika kwa muda tutakaokubaliana.
Karibuni wote.
Habari za leo?
Napenda kuutangazia umma kuwa,tuna mafundi wazuri sana kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na majengo mengine kama hoteli nk.
Pia tuna ramani za nyumba mbalimbali ambazo unaweza kuchagua yeyote uipendayo,pia unaweza kuleta ramani yako na kujengewa kadiri upendavyo.
Pia tunafanya marekebisho katika nyumba kama kubadilisha muundo wa nyumba,kutengeneza uzio nk.
Mafundi wetu ni wazoefu na waaminifu,wanapatikana Tanga mjini.
Gharama zetu ni nafuu na kazi hufanyika kwa muda tutakaokubaliana.
Karibuni wote.