Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini wakuu, mimi ni fundi aluminium ikiwemo __madirisha ya aluminium __milango ya aluminium __makabati ya chips __partitions za majumbani na ofisini NAPATIKANA DARESLAAM -MIKOANI PIA...
2 Reactions
9 Replies
713 Views
Fundi nipo hapa karibu kwa kazi za madish na mfumo wa tv cable ofisini, hotel au lodge karibu tufanye kazi. Napatikana Dar es salaam mjini(mwenge, kariakoo,na sehemu zingine) Mawasiliano 0749247929
1 Reactions
4 Replies
717 Views
Jipatie chanuo la umeme kwa bei nafuu ya Tsh 45,000 tu Bidhaa hii inatatua changamoto zifuatazo: 1. Kuzuia nywele kuwa ngumu: • Inafanya nywele kuwa laini na , hata katika hali ya...
1 Reactions
5 Replies
688 Views
Habari ya weekend! Nauza microwave ni kama mpya kabisa sababu haijatumika sana bei ni 120,000/= sababu ya kuiuza ni ninazo 2 so hii siitumii, pia ukilipia 140,000 nakupa na viti 2 vya...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
🧹 Karibu kwa Huduma ya Kusafisha ya Super Cleaning Service! 🧽 🏠 Tunatoa huduma ya kufanya usafi kwa majumba, ofisi, shule, na hata kumbi za starehe! Pia, tunajihusisha na kufua nguo majumbani...
0 Reactions
2 Replies
369 Views
Habari, kwa waliojenga na kama kuna mafundi humu,eti fundi kukufanyia setting ya nyumba na msingi inaweza kurange ktk bei gani.ukubwa wa nyumba ni 3 bedroomed.nataka niwe na idea ili asije...
1 Reactions
41 Replies
29K Views
Wana Jamvi salama jamani. Karibuni katika jukwaa let us la kilimo na mifugo. Mimi ni mmoja wa wafugaji wadogo magharibi mwa Tanzania ninafuga ng'ombe na mbuzi wa kienyeji. Nina hitaji la kuboresha...
1 Reactions
82 Replies
17K Views
Habari mdau wa filamu na series toka mataifa ya nje kama vile USA,CHINA,INDIA nk hofu ondoa. Kama kuna yoyote unayoitafuta karibu sasa utaipa kwa bei ya kuchangia bando.Tujuze id yake ya IMDb au...
1 Reactions
16 Replies
987 Views
FUNGUA MILANGO YA FURSA KUPITIA KOZI YETU YA KIINGEREZA, NI RAHISI SANA. INAKUFIKIA NYUMBANI KWAKO NA POPOTE ULIPO! Je, umewahi kukosa kazi kisa tu hujui Kiingereza?, Je, rafiki zako wanakucheka...
1 Reactions
2 Replies
401 Views
Nakaa Dar nauza simu Samsung A90 ina Ram 6gb,Rom 128gb,Battery 5000ma kwa Tsh 350,000/ Nicheck kwa 0693141058
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Kwa Anayehitaji Eneo Kwa Ajili Ya Kuweka SHOWROOM Au GARAGE Hilo Hapo Ni Jipya Kabisa Na Limeshakamilika. Lipo Mwananyamala "A" Barabara Ya Mwinjuma Jijini Dar Es Salaam. Ukubwa Wake Ni 576SQM...
2 Reactions
0 Replies
621 Views
ipo tabata segelea 185k 0697224996
1 Reactions
5 Replies
303 Views
Kipindi cha mvua uzalishaji wa dhahabu hupungua ,je wajua na nini suluhisho. Uzalishaji wa dhahabu au jina jingine huitwa kuchenjua dhahabu,hutumia njia za kikemikali ambazo hutegemea pia hali ya...
2 Reactions
7 Replies
803 Views
Ni mpya kabisa , ina 2 month tu ni fiber & spring 1..5M ukiitaka nicontact: 0697224996
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Sina mengi ya kuandika, nahitaji pc nzuri yenye specifications Kama picha inavyojieleza hapo, bei maelewano, Kama Kuna mtu anauza anicheki pm
0 Reactions
1 Replies
736 Views
Natafuta gari ndogo ya kukodi kw ajili ya mizunguko ya hapa na pale mim sio mkaaj WA Tanzania nakuja tu likzo ya muda mchache. Kama kuna mtu anakodisha gari yake kwa siku 30 had 40 aje inbox...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ongezeka Trading Co limited Tunakuletea Howo tipper lenye hp 380 (Refubrished) kwa Tzsh mil 130 pamoja na ushuru, Kwa wale wanaohitaji kulipia kwa njia ya installments maelewano yapo. Pia...
0 Reactions
1 Replies
403 Views
HP Deskjet 2835 Inatumia Wino huu Cartridge 652 Haina wino Bei ni 190k tu Upanga Contact: 0697224996
0 Reactions
0 Replies
289 Views
Ni zuri sana kama unavyoliona, rangi original 230k tu nakuachia 0697224996
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Back
Top Bottom