Kama unahitaji huduma zifuatazo nichek 0747787410 kufungua akaunt za biashara mtandaoni, kufanya matangazo mitandaoni, kurekebsha akaunt zenye matatizo na madeni, kusajil jina la biashara, lesen...
Nauza gari yangu aina ya Subaru Forester(Non turbo) ya mwaka 2011.
Bei 15m.
Gari ipo Dar es Salaam, haina tatizo lolote.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane: 0752357722
Basi linauzwa
Scania F310
Namba DP
Siti 52
Giabox ya gia sita
Changamoto
Matairi
kufunga cylinder head(ilifunguliwa ili kubadilisha gasket)
kuweka busta
Bei Tzsh 39,000,000/=
Ipo Dar...
Habari Wakuu,
Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji...
Habari nahitaji mtu aliepo Uganda
Awe na uzoefu wa masuala ya teknolojia na social media. Pia awe kijana mchangamfu yani kijana wa mjini ukipewa kazini unafanya kwa uhakika.
Habari Wana JF,
Nyumba inauzwa ipo Chanika Masantula Dar es Saalam. Ina eneo la nusu heka. Ina vyumba vinne vyote master. Ina sebule, jiko, Stoo na dining kubwa tu. Ina nyumba ya uani ya vyumba...
Karibu ujipatie kitabu cha Fursa za mtandaoni
👉Huku utafahamu Fursa zote zilizopo mtandaoni na Jinsi ya kuzitumia kujiingizia kipato
👉 Bei ni Tsh 5000 tu tunapatikana Dar es salaam number...
Kwenye nyumba zetu tunazoishi au maeneo mbalimbali ya biashara, changamoto ya umeme wa kushea ni kero kubwa kutokana na kutegemea mfumo wa kushea mita moja ya umeme (LUKU).
Katika mfumo huu ni...
Leo nimewaletea uzi kuhusu biashara ya nguo hasa za kiume,hii ni biashara nzuri sana endapo utaifanya kwa umakini na ina faida kubwa. Mimi nimefanya hii biashara nafkri ni zaid ya miaka 10 sasa...
Wanajamii foroum nimekuwa nikiwafuatilia sana lkn sikuwahi kama mimi kupost hoja/ombi,kwa kweli mchango wenu ni mkubwa sana katika jamii,naomba mnisaidie mwenzenu nataka kujua bei za mashine ya...
Habari zenu wadau
Habari Onana nasi NESSA PRINTING kwa huduma zifuatazo kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING): Calendar, Diaries, Tshirt(Embroiders. Computarize, Screen printing)...
Cj cleaning
Karibu cj cleaning
Huduma zetu
.tunafua mazulia
Tunapiga polish
Tunasafisha seat za magari
Viti
Soffa
Masink ya choo
Tupo kijitonyama mesuma hotel
Tunapatikana kwa no
0672181130 what...
Wakuu habari za usiku huu?
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nimekosea kufanya muamala kutoka crdb nikatuma kama muda wa maongezi na sijaunga kifurushi.
Nimewapigia crdb bank wameniambia...
HABARI ZA WAKATI HUU NDUGU ZANGU KARIBUNI MPATE BIDHAA ZA KITEKNOLOJIA UWEZE KUTENGEZA FEDHA NA KUKAMILISHA MAJUKUM YAKO YA KILA SIKU KIRAHISI 😊.
HELLOW NEW ARRIVAL 😊😊
AMAIZING,😊
TABLET SE 2 New...
Tunatoa uduma za usafi wa magar aina yote, makubwa kwa madogo, tunapandisha juu, inaoshwa chesesi na kwenye ingine, pamoja na ndani, tunasafisha siti, rufu ya juu, tunapiga wax, pia na taa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.