Kiwanja cha ukubwa wa sqm 400 (mita 20 kwa 20) kimekaa tambarare bei ni 3M kipo Mbezi Makabe (Msumi) ni kama 6km toka stand ya zamani ya Mbezi mwisho.
Wasiliana nami mmiliki wake kwa 0653770052
G shock digital & analog replica - best quality
Limited peaces available
Price: 55,000tzs
Contact: 712 888 884
G shock digital & analog replica - best quality
Limited...
Nauza Kiwanja Kimere - Mapinga Km 1.5 kutoka barabara ya Bagamoyo na mita 500 Kutoka barabara inayoenda Kibaha. Ukubwa wa Kiwanja ni M 20 kwa 30. Bei ni Tsh. 7M. Kiwanja ni changu na hakina...
Ipo lg home theatre system ht 302sd na subwoofer yake na tweeter zake 4 ya tano haipo ila cd haisomi plus subwoofer ya sony.Yenyewe
Mimi nimeunga vyote yaani ni balaaa
TSH 200K TU fixed price...
Habari zenu wapendwa natafuta collora e90 kwa million moja, kwa mwenye nayo anijulishe kwenye 0716002323, na unitumie picha kwa whatsapp kwenye 0786188190
Habari wandugu.
Ninatafuta nyumba ya kupanga Arusha. Iwe ni chumba kimoja na sebule au vyumba viwili na Sebule. Kiwe kinajitegemea kwa maana ya choo, jiko na iwe ndani ya fence. Ningependelea...