Exclusive offer!!!!!! For residents at blue pearl hotel ubungo plaza: Sgl $59 & dbl $90 - per night on bb, inclusive v.a.t
from june 31st july come and enjoy our hospitality with dar...
Habarini ndugu zangu wana JF, wapendwa nahitaji kujua wapi ninaweza kupata hizi mashine za kutengenezea popcorn bei zikoje na zinatumia nishati gani yeyote mwenye info please msaada tutani!!!
kwa wale wataalam, mnajiita archt........... (hili jina huwa ni gumu). naomba mchanganuo wa gharama wa design hiyo ya kwanza ukiacha finishing. nitalipia hii huduma Jerhy shanelson na wengineo.
Ni iPower ila iko compatible na sim zote all yu need is cable and yua good to go......
Ina uwezo wakuchaji sim tatu zikajaa bei yake ni 80,000 tuu kwa rejareja kwa piece kwanzia kumi bei inakua 70,000
naomba kubadilishana sumsung galaxy s3 na s4 hii ni mpya iko full boxed leo imetuka siku 4'''' lengo ilikuwa kupata S4 mambo yakaingiliana hatavukitaka nikuongeze pesa kidogo usijali....sim mpya...
Nina kiwanja chenye ukubwa wa nusu eka kina nyumba mbili ndani yake zenye jumla ya vyumba 6 vya kulala. Kiwanja kina offer kabisa hakina mgogoro na kinalipiwa kila mwaka. Sababu ya kuuza mwenye...
Hellow ndugu marafiki na jamaa wa JF
Nina shilingi 50,000/= cash na simu aina ya blackberry ambayo housing yake imeisha ila bado iko poa sana na nimeivisha kava so uwezi jua kua housing imeisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.